Shida ya kwetu si kugomea uchaguz wala kuunda network ya wanamabadikiko.
Ukitaka katiba mpya yenye tija, anza kwanza na haya.
1. Vua kwanza u CCM, CDM, CUF nk. Au achana na uchama. Weka u taifa mbele ndo utafikiria kuunda kizuri. Ukishutumu uccm unasahau u chadema upoje. Maana nako hakuna...
Katiba inaweza jadiliwa na kutengenezwa lakin si ya kuwanufaisha wa tz bali wana siasa. Mfn katiba likiyokuwa inatengenezwa upinzan waliona inawanufaisha CCM. Lakin hata upinzan nao wanatengeneza za kuwanufaisha wao. Angalia ya CDM inanufaisha viongozi kwa uongoz usion na kikomo. Ambapo huwapi...
Mtoa mada naona baado upo zama zileee. Mtu akifa basi mtanung'uka mwaka mzima huku mkiomboleza. Mnasahau kuwa hapa Dunian tunapita tu.
Nasema hivya cos watu washaanza kusahau kama kulikuwa na uchaguzi. Ukishashindwa basi, subir mwaka mwingine. Ajipange upya kwa 2025. Kwa sasa watu wapo buzzy na...
Acha kuwaza siasa fanya kazi. Viongozi wenyewe wa vyama hawayawazi hayo kwa sasa. Mbowe na akina kinana wanafikilia jinsi ya kupata pesa za ubunge ww unawaza jinsi gani wamechukua hawajachukua kanda ya ziwa. Kafanye kazi. Waza kazi ni mwaka wa hapa kazi tu.
Mwanadish umejarib kutoa maoni lakin nikurudishe nyuma. Kiuongozi huwezi fika na kubadili kila idara kwa ghafla. Hata kama kingeingia chama kingine ingechukua muda sana kubadili watendaji. Maana sio wote wabovu. Na kuna uwezekano wa ubovu wao ulisababishwa na mtendaji mkuu aliekuwepo.
Watz pia...
Haya ndiyo maneno ya waswahili. Chenga tumewala japoj mmetufunga. Ni rahisi zaidi kujifariji kwa stail hiyo. Wala meya, luzuku etc. Lakin nani ana big cake? Ccm ina vyanzo vingapi vya hela? Pia angalia ni muunganiko wa vyama vingapi na mmepata nn. Angalau mngefika nusu basi. Lakin bado ni robo...
Kwa akili ya Mtz, huwazia mwenzaje mabaya tu. Na hawezi kumthamin mtu kwa uzuri hata kidogo.
Huyo mwanasheria angekuwa ni mbabe napo mngesema. Anapelekeshwa na amina Lissu napo mnasema. Mbona Lissu hajapata nafasi kama hiyo. So huyo ana ubora wake. Mwache afanye kazi. Madhaifu aliyonayo si ya...
Wakati anaingia kwenye uchaguz hakujua kua hakuna mahakama ya kusikiliza kesi ya ataetangazwa kuwa rais? Alijua fika, na atakuwepo kwa nyumba au ofisin mwake akiangalia akiapishwa. Issue nyingine sio lazima uwepo physical lakin saikolojikal umeshiriki. Kitendo cha kujua kuwa kesho anaapushwa...
Mleta mada umeiandika vizuri kweli. Laki mbona miezi michache iliyopita haukuandika hivi kuhisu mgombe urais aliekuwa mzee kuliko wote na ndo alieleta sera za mabadiliko? Au kuna vyeo vitakavyo vijana na vipo vya wazee?😁
Mambo ya kibongo Bwana. Unawezaje kuipima nchi iliyo na furaha? Watz ni waelewa sana wameshajua kuwa wapo ktk kipindi cha hapa kazi tu. Ndo maana wapo bizzzzy na kazi tu. Wewe endelea kuzunguka uliangalia waliokuwa wakidhan watakaa nyumbani wakisubiri utajirisho. Amka, zinduka fanya kazi. Ndio...
Ndoto zangu zina ukweli fulan. Kama CDM itashinda, haitaitambua kitu Ukawa. Kwa jinsi nionavyo mpaka sasa CDm kama ipo peke yake tu. Vyama vingine vimewekwa kuongeza kura. Na historia hujirudia, kipindi kile bungen Mbowe aliwakataa wenzake wa upinzani. Vipi leo kwa kitu ambacho hakipo ki sheria...
Pia ikajifunze kwa nchi kama USA. Kila mtaa kuna askari wa doria na helikopta zapita juu lakin uhalifu upo kila siku na wahalifu hawashikwi. Vipi kwa nchi kama yetu. Tembea zaidi ujue zaidi badala ya kulalama.
Jaman zote hizi ni mbinu za kampen tu. CDM walikuwa na operation Sangara etc napo hela ilitumika. Na huu ni muda wa kampen chopa ngap zipo angani. Kwa nn wasitumie gar za kawaida sana kama wanajali. Kukod chopa si mchezo. Basi waachen na CCM watumie njia ya miguu, bajaji, nyumba kwa nyumba shuka...
Unajua dhana yavkupiga kura ni ya mtu binafsi. Tuanaweza danganyana lakin siku ya kura kila mtu anampigia ampendaye. So hata ukisema wameungana ni kama unanidanganya maenyewe. Kwan kura zitapigwa kwa pamoja. Kila mtu ataenda kwa muda wake na kumchagua ampendaye. So usije lia siku ya siku kuwa...
Rafiki napoongea ni wavivu ninajua ninasema nn. Tupo wavivu sana ktk kutenda kazi na ndi maana hata hali ya ujasiliamal kwetu unakuwa mgumu. Pia hatujajifunza elimu ya maendeleo ya kesho. Mfano. Wa boda boda na dala dal. Wanapata pesa lakin hawafanyi maendeleo chanzaidi ni starehe wakijua na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.