Ndg zangu,
Kama Mimi Moblaze, ningetoa amri ya kurudia uchaguzi Wa Madiwani na Wabunge wote nchini kabla ya 2020 kisha tuanze kuhesabu upya miaka mitano yao!
Maana ya hoja yangu: Tusipoteze hela nyingi za Serikali katika hizi chaguzi ambazo tunatumia kodi za wananchi.
Tufanye uchaguzi Wa...
Tatizo wengi wenu mmepitia shule miaka ya mitandao. Kiukweli ualimu ni with maana unakutana na watoto waliolelewa mazingira tofauti na tabia zao tofauti. Sasa jiulize mtoto Wa darasa la kwanza au la pili anaiba penseli ya mwenzake at a kama anayo ya kwake mpya shuleni. Je walimu wakiacha...
ndg Wily,
kwanza nakupa pongezi kwa kujitolea! Naamini Mungu yupo upande wako kama ni kweli umejitoa kwaajili ya nchi yako.
Ndg, tumeona vijana wenzetu wengi wakishika madaraka na kupotea kimaadili. Sio hapo tu bali kutufanya vijana wote tuonekane wababaishaji.
Napenda kukuambia kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.