Search results

  1. moblaze

    Sheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi?

    Ndg zangu, Kama Mimi Moblaze, ningetoa amri ya kurudia uchaguzi Wa Madiwani na Wabunge wote nchini kabla ya 2020 kisha tuanze kuhesabu upya miaka mitano yao! Maana ya hoja yangu: Tusipoteze hela nyingi za Serikali katika hizi chaguzi ambazo tunatumia kodi za wananchi. Tufanye uchaguzi Wa...
  2. moblaze

    Muwe mnajiongeza jamani

    Nilifanya the same nikakuta raba(viatu vyangu) hakuna. Nikaondoka na kandambili za chooni. Ilikua 2002 Sinza Kumekucha karibu na Lion's Hotel.
  3. moblaze

    Picha: Adhabu hatarishi kwa wanafunzi

    Tatizo wengi wenu mmepitia shule miaka ya mitandao. Kiukweli ualimu ni with maana unakutana na watoto waliolelewa mazingira tofauti na tabia zao tofauti. Sasa jiulize mtoto Wa darasa la kwanza au la pili anaiba penseli ya mwenzake at a kama anayo ya kwake mpya shuleni. Je walimu wakiacha...
  4. moblaze

    Upasuaji wa kwanza wa kupandikiza kichwa(world's first human head transplant)

    Tuendelee kushabikia dini hairuhusu wakati waliotuletea wanapiga hatua! %%zangu mwenyewe
  5. moblaze

    Dkt. Slaa: Sitta ni kielelezo cha mfumo uliooza, mlinda mafisadi na ufisadi

    angelikua baba yangu mzazi ningemwambia ata wajukuu zake wangemsaliti! pole yake..
  6. moblaze

    Nadhani mliokuwa mnashangilia kipindi kile Kusini tulipopigwa na Serikali ya CCM sasa mtatuelewa

    at least leo utaona comment yangu! tukiacha unafiki tutafikia malengo!
  7. moblaze

    Samsung window phone! Msaaada jamani..

    yaani Hilo tatizo la kushindwa kudownload linanifanya naona kama nilipoteza hela yangu! Msaada kwa anayeweza kutusaidia..
  8. moblaze

    Zilizokuwa Dawa za CCM, Ndizo Sumu Zinazoiua CCM!

    Kuwa msikivu, haimaanishi kua mwelewa! Unaweza kusikia na kuacha bila kutenda..think twice
  9. moblaze

    Bendera ya Tanzania kwenye Meli ya Iran: Msimamo wa CHADEMA

    mmh! Sijui kama ulifikilia..
  10. moblaze

    Jibu maarufu la Serikali bungeni

    'waheshiwa tuvumiliane'
  11. moblaze

    What are your favorite philosophical and political Quotes?

    'I am not concerned over what you say but what you do Mr. Politician' by Simon Dosi (2012)
  12. moblaze

    Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

    asante Mungu! Tatizo langu kubwa si comment kila kitu but kwa issue kama hii. I have to hongera kamanda LISSU wapi Makamba senior?
  13. moblaze

    Zitto alipuka tena bungeni

    natamani ungejua anayevujisha siri zenu za wizi...huyo huyo uliomtaja
  14. moblaze

    Orodha ya Wabunge waliosaini kutokuwa na imani na PM

    Mbunge wangu Cheyo kagoma!? Kweli siasa ni usanii
  15. moblaze

    PICHA: Bungeni Nassari na William Malecela... Sasa Malecela atapata kura ya Nassari?

    wile, nakuheshimu sana lakini I do have doubts! leo uko dom.. kweli siasa mchezo mchafu. done!
  16. moblaze

    Kwanini ninagombea Ubunge wa EAC - My Case!

    ndg Wily, kwanza nakupa pongezi kwa kujitolea! Naamini Mungu yupo upande wako kama ni kweli umejitoa kwaajili ya nchi yako. Ndg, tumeona vijana wenzetu wengi wakishika madaraka na kupotea kimaadili. Sio hapo tu bali kutufanya vijana wote tuonekane wababaishaji. Napenda kukuambia kwamba...
  17. moblaze

    Magufuli alikoroga, Maandamano makubwa kumpinga leo

    naomba usilete utani kwenye issue za kitaifa. utanipa ban.
  18. moblaze

    JK futa uraia wa Dr Slaa, Mbowe, Zitto, Mnyika, Lema, Pengo na Shivji ili Taifa litawalike!

    stil comfuzed, Pengo nae mwanasiasa?! anahusika vipi hapo?! Wish I could know..
Back
Top Bottom