Tatizo ninaloliona kwako ni kwamba unajaribu kuhisi, lakini hujawahi kushiriki hizi interview. pale sekretarieti ni lazima upambane namaanisha uwe unajua vizuri ulichosomea. kama chuo ulikuwa bingwa wa vibomu pale sekrearieti patakutoa jasho haswaa.
MASWALI mengi ya sekretarieti huwa yahaendi...
jaman mwezenu nimepata selection leo kutoka NACTE, chuo cha st.JOHN COLLEGE OF HEALTH _ Mbeya. Nimewapigia chuo wananiambia nafas za health community zimejaa, nimewapigia Nacte wanasema niende tu kama nafas zimejaa nitapewa barua sasa nina wasiwasi tafadhar naomben msaada wenu
nili apply HEALTH COMMUNITY kupitia NACTE leo ndo wamenipa majibu nimechaguliwa st JOHN COLLEGE OF HEALTH _ MBEYA sasa nimewapigia chuon wananiambia nafas walizopewa na NACTE zimejaa, nimewapigia NACTE wananiambia niende tu kama zimejaa nitapewa barua, sasa naomba anayekijua hicho chuo anijuze...
polen na majukumu wana JF, Mwenzenu nimeomba nafasi ya kujiunga na vyuo vya afya kozi ya HEALTH COMMUNITY toka mwenzi August 2015, maajabu yake selection za kwanza nikakosa. Leo tena wametoa selection zingine tena lkn bado hawajanichagua, na vyuo vimefunguliwa toka tar 2 November, nifanyeje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.