Akiwa katika kipindi cha Clouds 360 cha clouds Tv leo siku ya ijumaa kuu Padri toka parokia ya sinza Dar es salaam asema kua hakuna kosa kwa mchungaji,Mapadri na maasikofu kusifia mazuri na pia kukemea maovu anayofanyika au kufanywa na watu mabalimblia kwa ni wajibu wao , kazi yao sio tu...
SIRA 9:17-18
Kazi ya mtu mwenye juhudi itapata sifa;kiongozi wa watu sharti awe hodari katika maneno yakem
Mtu aropokaye ni kitishio mjini kwake;mtu mwenye maneno ya hovyo huchukiwa.
Ndugu wapenda michezo imekua shida kubwa kupata updates za matokea na kila kinachoendelea ligi daraja la kwanza.
Najua wengi wanapenda kujua vitimbwi vya ligi hii ambayo huwa imejawa vituko na udambwi mwingi
Huu utakua uzi maalum kila mmoja alipo kutupasha habari na matokeo ya ligi daraja la...
Ili kuepukana na kuweka nyuzi mbali mbali za kutaka watu wakutakie heri ya kuzaliwa, sasa huu ndo utakua uzi maalum kwa atakae penda kutakiwa heri ya kuzaliwa ataweka tarehe yake ya kuzaliwa siku yake ya kuzaliwa itakapofika.
Naanza na mimi leo ni siku yangu ya kuzaliwa 4/10
Kutokana na tweet ya mheshimiwa mbunge wa mtama,Maswali ya kujiuliza:
1.Mbunge hajui umuhimu Bomberdia au shirika la ndege Tanzania (ATCL)
2.Pindi zina nunuliwa Mh. Alikua waziri alishindwaje kupinga au kujiondoa uwaziri kutokana na kutokukubaliana na ununuzi wa Bomberdia
3.Ni sahihi Mh.ku...
Mahakama kuu Kenya imefuta uchaguzi uliofanyika baada ya kugundua kulikua na dosari ,hivo hivo hata Zanzibar Jecha alifuta uchaguzi baada ya kugundua kua kulikua na dosari ,tatizo ni kwamba nabii hakubariki kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo wakati rais anarudi kutoka kwenye ziara za Mikoani, Amesimama Tegeta na Kuzungumza na Wananchi. Haya ni baadhi maneno aloongea;
“Kwenye madini tumeibiwa sana, nchi yetu ni kati ya nchi zinazoongoza kwa kuibiwa, tumeibiwa kwa miaka 18, sasa imetosha” Rais Magufuli.
Kwa sababu ni mara yangu...
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua...
Leo mchana huu kumetokea tetemeko dogo mkoani Mwanza, Tetemeko liameanza sa 6:56-6:57 limedumu kwa sekunde zisizozidi 40. Watu wengi wameonekana kukimbilia mahala ambapo wanaweza kujistiri.
---------------Update-------------
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar(SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma, Khamis Juma Maalim wakati akijibu...
Tupia jicho ujionee kwenye kipazia chako
Hamonaizi amwoneshe kidole cha kati boss wa hamorapa,
Hamonize alikua na interview EATV kipindi cha FNL alipo mkuta hamorapa EATV ameamua kusepa.
Helou wanajamvi kumekua na shinikizo kubwa la kutaka mh makonda ajihudhuru na ana mwaka mmoja tu tangu awe RC
Sasa me najiuliza kuna watu wamefanya wameongoza mda mrefu na wanatenda ndivyo sivyo kama
1.Robert Mugabe
2. Arsene Wenge
3. Museveni
Mbona hawa wamevumiliwa na miaka mingi hawataki...
Kwa video hii ni dhahiri kua chama cha mapinduzi wameamua kuanza kulipiza visasi baada ya watu waliopigania kuenguliwa kwa Waziri mstaafu Edward Lowassa lakini CCM wakumbuke kua visasi hivi vitawafanya watu kukosa uhuru wa kumchagua mtu wamtakae kipindi cha kura za maoni kwa kuhofia tu...
Ndg. Askofu Gwajima wakati akimwombea mama mmoja alisikika akisema pepo toka aende kwa mkuu wa Dar es salaam , mama huyo alisikika akisema mbona haingiliki.
Hii ina tafsiri gani wana JF
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.