Habarini wakuu..
Naomba msaada wa kujua uwezo n storage hizi computer za chromebook.
Kuna moja hapa nnayo ni ya acer na imekuja na lugha tofaut nmeshindwa kubadili lugha ila nmetafuta system management imesema available ni 1.9 gb.. hii saaa inafaa kwa storage kwel au mm ndio sijui. Msaada kwa...
Habari wakulima, mimi naomba kupata mawazo chanya juu ya kilimo cha tumbaku hasa kwa mkoa wa mbeya wilayani chunya maana nimeelekezwa huko kilimo kinakubali.
Kwa wazoefu na hili zao naomba uzoefu wenu.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Wakuu naomba kujua kama mamlaka husika zimetangaza kuwa siku aliyofariki mpendwa wetu Raisi wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa kama ni siku ya mapumziko tukiadhimisha kifo chake na kukumbuka mchango wake uliotukuka katika taifa hili.
Niimemaliza degree ya elimu natamani kujiendeleza kielimu ili niweze pia kuhama carrier hizo course tajwa ndion kipaumbele changu. Naomba msaada wa ipi ni sahihi kuisoma au kama kuna nyingne mnayoweza kunisaidia ili niisome.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.