Habari Wakuu
Najaribu kuInstall Adobe kama Premiere, Audition, Photoshop na zingine lakini
inakataa na kunipa ujumbe (Angalia picha hapo chini) na nimejitahidi kupata maelekezo kupitia google na Youtube sikufanikiwa.
Mwenye kujua naomba anisaidie.
Punguza chuki kijana utapata presha Bure. Mambo ya kususia biashara yanakujaje hapa.
Hilo unalolitaka haliwezekani. Watz hawako hivyo.
Kwani mmiliki wa timu SI anauza majuisi ya Kila aina, waende nazo uwanjani wawape wachezaji waache kuomba omba Kwa wapinzania wao.
Kama kicha cha habari kinavyouliza je inawezekana?
Kwa bahati mbaya simu yangu katika kubonyeza bonyeza nikafanya Factory Reset na ndani kuna vitu muhimu sana na sikuwahi kufanya Backup ya chochote.
Kwa mwenye uelewa wowote anisaidie tafadhali
Hizi WhatsApp Mod zimeniumiza sana.
Nimepoteza mambo muhimu mno baada ya simu kupotea.
Nimeshindwa kurudisha files muhimu mno. Backup yake mpaka uwe na file
ambalo utahamisha kwenye simu nyingine.
Sinahamu kabisa. Kwa mnaotumia muwe na tahadhali sana
Nimeupdate drivers zote na bado tatizo lipo. Tatizo hiyo unknown device moja ndio nimeshindwa ku Update inaniambia windows was unable to install your unknown device
Habari wakuu,
Laptop tajwa hapo juu inasumbua sana kwenye upande wa Mouse yake yaani inajibonyeza yenyewe pale ambapo unaigusa ili kwenda kubonyeza sehemu fulani uliyoikusudia.
Unapojaribu kusogeza kila inapokutana na chochote hapo kati inafungua au kufunga.
Nimejaribu ku Update drivers...
Kama kichwa cha habari hapo juu.
Ndugu zangu nimesakinisha Ubuntu 22.04 kwenye HP Elitebook Folio 1040.
Nimefanikiwa mpaka mwisho lakini nikizima kuwasha tena inakataa.
Nimejaribu kupita Google lakini sijaambulia kitu.
Naomba mwenye ufahamu anielekeze namna ya kutatua tatizo hili...
Kwanza asante kwa maelekezo yako.
Njia hii naona kama ni ya chat moja moja na si YoWhatsApp yote.
Hainipi hiyo option labda karma kuna maelekezo ya ziada kufikia usahihi wa maelekezo yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.