Huyu jamaa hana lolote. sasa yeye kukataa halafu kunyamaza wabunge wengine kununuliwa hayo mashangingi kuna tija gani kwa taifa? ningemuelewa kama angesimamia hilo zoezi la kurekebisha huo utaratibu wa ununuzi wa haya magari gari mapya ilihali yazamani bado yapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.