Ni maradhi tuu na yanaitwa schizophrenic paranoia. Kama ni kweli hao alshabab ni "al-qaeda affiliates" basi hawawezi kukodiwa na mtu yoyote, serikali yoyote kwa ajili ya kupata pesa. Alqueda hawana historia ya kufanya mashambulizi ili kupata pesa kwa hiyo madai yanayotolewa kwamba al-shabab...
Umesahau
7.Utumwa wa kiakili
8. Ujinga
9. Kuzungumza kiswahili kilichochanganyika na vijineno vya kiingereza (tumeshadiscus lakini bado anaonekana haelewi, ken yu imejin?... kwenye meeting iliyopita waliniendorse mimi niwe chairman wao). This is the cheapest way used by "beducated" fools to...
I think you should make your tahrir square right there at the stronghold of chadema (Kilimanjaro/arusha), because in dsm it won't work. Ironically, a legitimate president who has been re-elected by the majority of our citizens is put in the same box as those non elected arab leaders who have...
Another goat on the loose, where is the owner?
Requesting birth certificate for the folk born in the Tanzania if 1950s is absurd, asking for those born in 1920s is nothing short of outlandish. Less than 2% if any of those in the 1950s were issued with birth certificates.
Hivi ni nani...
Enyi "great thinker who cannot think" hivi ni nani aliyewaloga na kuwafanya mdhanie kwamba Jumbe na Mwinyi wamezaliwa Zanzibar? Jumbe na Mwinyi wote ni wazaramo, tena ni wazaramo waliozaliwa katikati ya uzaramo. That is your answer.
Alaa kumbe mlipokuwa mnashabikia mambo ya misri mlikuwa mtategemea christian brotherhood ichukue nchi? Kaanzisheni chama cha kikiristu kama chadema kule misri labda mambo yetu yatakuwa mazuri
Umeongea upuuzi mtupu hapo. Sababu zinazofanya mwafrika kuwa nimezitaja katika ile thread ya jana/juzi 10/11 feb 2011; ambayo kuna mtu aliweka waraka wa mapadri na wachungaji. Na ndiyo maana ile thread imeondolewa haraka sana baada ya mimi kuziandika sababu zinazomfanya mwafrika kuwa hivi alivyo.
Yaani wewe ni chadema hasa. Maana kila neno kati ya hayo yenye rangi nyekundu hapo juu yanaashiria u-chadema uliokomaa.
Isipokuwa tuu ukumbuke kwamba maggid amesoma kuliko mbowe, na mbowe siyo muhehe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.