Ndugu zangu naomba kuwasalimia kwani ndo kwanza naingia humu ndani. Mimi binafsi ni wa upande huo anako amini mama Rwakatare ila imekuwa ikinipa shida mno nikijalibu kumpambanua mchungaji huyu!!! Mimi naamini mungu wetu ni mwanye upendo na siku zote hutuwazia yale yaliyo mema.
Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.