Mc pilipili alishushwa na ma mc vijana wapya sokoni.. wamekuja vijana wabunifu zaidi yake wakamtoa sokoni .. ndio hao kina Gara B.
uchungaji kaingia juzi juzi tu baada ya kuona u mc hapati wateja wa kutosha
MC pilipili hayupo sawa toka alivyopata msiba wa mama yake. kufiwa na mama siku ya harusi. tena kwa ajali ya boda boda kumempa msongo mkali sana wa mawazo mc pilipili
wachungaji hao hao wanapinga ukisema sadaka yako ama fungu la kumi lako unapeleka kwa yatima ama wajane.
unatengwa na kanisa kwamba sio mtoaji wa sadaka, na unajaziwa madeni kanisani kupitia jumuia
Pastor Daniel Mgogo anasema sadaka zinatolewa hili ziliwe na wachungaji, maana Mungu hana account ya kupokelea pesa za sadaka.
wachungaji ndio wawakilishi wa Mungu hivyo wana haki ya kuzila sadaka kwa niaba ya Mungu
unashindwa kunielewa, mimi siamini biblia na hakuna sehemu nimeweka mstari wa biblia.
mimi naongela imani ya uchawi na imani juu ya ukristo jinsi zinavyo relate. na nimekueleza maisha ya ulaya kipindi cha medieval age, nikakueleza canon laws zilitoka wapi na jinsi hizo laws zilivyokuwa...
ukristo baada ya kuanzishwa ulienea sana ulaya kipindi cha mediaval age ( middle age) kipindi hiki ( canon laws) ama sheria zilizokuwa zinatumika kuendesha taifa ( state laws) ni sheria za kikristo ama sheria za kanisa. kitu kilichoandikwa kwenye biblia ndio kilikuwa kinafatwa.
uchawi hapo...
mbona uhahamisha mada, hapa hatuongelei majini
hapa tunaongelea uchawi, yaani imani juu ya uchawi, jiulize je bibilia ama kanisani Uchawi ama wachawi hawazungumziwi kwenye ibada ama maombi ?
mfano mimi ni Atheist siamini dini yoyote, na wala siamini uwepo wa Mungu, naanzia wapi kuamini...
UKRISTO UMECHANGIA SANA IMANI ZA USHIRIKINA NA UCHAWI KUENEA DUNIANI
BILA IMANI JUU YA UKRISTO KUWEPO NA IMANI JUU YA UCHAWI ISINGEKUWEPO
madhehebu ya dini ndiyo yanachochea kuziamini imani hizo za uchawi na ushirikina
watu ambao hawaamini dini wala uwepo wa Mungu Atheist huwa pia hawaamini...
Huo ndio ukweli. Wanaochelewesha maendeleo ni watu wanaokaa mijini. Ila wanamiliki viwanja nje ya mji na hawajengi
Hiyo siri alinipa afisa ardhi mzoefu aliyewahi hudumia manispaa zote za Dar es Salaam
Kwa sasa ni afisa ardhi temeke anaitwa .............
Aliniambia ukitaka sehemu inayokuwa...
Mimi mfanyabiashara sitaki kufukia hela.
Nitakapoona mkandarasi yupo site wa kujenga lami ya Banana mpaka Msongola. Ndipo nami nitaenda site kuanza ujenzi. Najua ndani ya miaka mitatu lami imekamilika nami bar yangu imekamilika.. naanza waletea kina misso missondo wawarushe watoto wa Kivule.
Mimi mwaka 2022 nilitaka nunua kiwanja Kigamboni kwa ajili ya kujenga bar mbeleni.
Afisa ardhi ndio akanipa siri. Kwamba Kigamboni inachelewa kukua sababu viwanja vingi ni vya matajiri ambao hawana shida ya kujenga leo. Akaniambia kama nataka kiwanja cha kujenga bar nenda miji mipya inayojaa...
Ukitaka ukae sehemu ambayo inakuwa haraka. Nenda sehemu ambapo watu wa kipato cha kati na maskini wanajenga.
Kigamboni viwanja vingi na maeneo vinamilikiwa na watu matajiri ambao hawana shida ya nyumba za kuishi.
Unakuta mtu ana nyumba Mbezi beach ila amenunua kiwanja Kigamboni.
Huyo mtu...
Hakuna. Ila kuna imani zimetoa ruhusa ya kumkabili mke asiyefanya jukumu lake kuu la ndoa.
Na kuna imani ambayo inamlinda hata kama akigoma kutoa huduma ya ndoa bado haachiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.