Hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
Inafaa Kusoma
Bw. Netanyahu alisema:
Miaka 70 tu iliyopita! Wayahudi walichukuliwa kwenda kuchinjwa kama kondoo.
[emoji838] Miaka 60 iliyopita!
[emoji838] hakuna nchi. Hakuna Jeshi.
Nchi saba za Kiarabu zilitangaza vita dhidi ya dola hiyo...
Simba wana wachezaji wazuri kuliko yanga walichotuzidi yanga wachezaji wao wana fighting sprit. Wachezaji wa Simba hawajitumi wana usupastaa mwingi wengi hawana ndoto za kuchezea timu kubwa ndoto zoa zimefika Mwisho.
Dar watu hawashibi, vijana wengi ni madarali, Mji umejaa Machawa kibao na Midananda,
Dar ndo kuna uchawi kushinda ata Mikoani watu wanapigana Miba balaah.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.