....hivi hawa viongozi wanatuona sisi wapumbavu kiasi hiki!!!!! I long for the day when all citizens will know their rights and responsilbility na hawa wachache wanaodhani kila siku ni ijumaa watajua!!!
Hello JF, I want to purchase a new car,,,please help me understand what I should consider before buying a car and the best companies which can help me achieve that.
hata kama kuna mihimili mingine ya serikali ambayo inakula pesa zaidi ya wabunge lakini dhambi ni dhambi tuuu, hakuna cha ndogo wala kubwa,,,,so tuanzie na wabunge alafu tutaendelea na hao wengine!
Foleni ndani ya jiji la Dar es salaam ni kero, hili lipo katika uwezo wetu kwa kuwa tunaweza kupunguza msongamano wa magari na kupanua barabara ziwe za kisasa, kutengeneza super highway, na kuwa na public transport zenye kuridhisha ili kupunguza magari ya watu binafsi kuingia mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.