Mwenye picha hiyo hapo kwenye attachment ni kijana wa kwanza wa ndugu Cornel Mujungu anayefanyia kazi Kasulu.
Kijana huyo ametoroka kwao katika mazingira ya kutatanisha tangu jana tarehe 29/08/2012 alipomuaga mdogo wake wa miaka kumi na moja kuwa anaenda Moshi, ambako hakujui tena hakuwa na pesa...
Najaribu kuangalia hali tuliyonayo watanzania kwa muda wote huo tangu tupate uhuru (kujetegemea kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni) naona hali ni mbaya kabisa laiti kabisa tusingekuwa na mfumo wa vyama vingi sidhani kama tungeweza kununua hata yebo.
Ndugu zangu watanzania hususani wewe...
Pole sana Kaka yangu, nikupe ushauri mmoja .
Umemuchunguza toka mwaka 2008 mpaka leo utakuwa unamfahamu vizuri sana, jibu unalo mwenyewe ila tu ndoa ni kifungo. think again and again.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.