T
The horticulturist sababu ulizozisema inawezekana ni sahihi kabisa maana upukutishaji nimeanza kuuona baada ya kupiga dawa kali za fungus na wadudu.
Suala la maji sijui yanahitajika kiasi gani nimefanya mulching na nikiangalia ardhi ya eneo linalopukutisha naona kama unyevu bado upo...
Dah nimepata shule kubwa sana kwenye huu uzi.Kuna wenzetu wanaelewa vema hili zao asanteni sana.Ila ninatatizo nyanya yangu inatoa maua sasa ila kuna baadhi yake inapukutisha maua.Je tatizo hilo linasababishwa na nini na je solution yake ni nini?Natanguliza shukurani
Kwa mtazamo wangu wajumbe wanachanganya mada hapa, nadhani madhumuni ya uzi huu ni kutoa taarifa sahihi ya watu au mtandao wa majipu ambayo yanaisababishia serikali hasara kubwa.Na sio kuleta kero ndogondogo ambazo zinaweza kushughulikiwa katika ngazi za chini.
Kwa mfano ili kuweka urahisi wa...
pole sana mkuu, najaribu kuvuta picha ulivosimamia stelingi kama van dame.Ushauri tufunge ngao gari zetu na tuwe tunaangalia movie za action kwa wingi.
subaru ni gari nzuri na imara sana.Kwa masafa utaipenda ina stability nzuri sana barabarani.Ila tu spare zale zipo juu kidogo japo mpaka uharibu subaru inachukua muda sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.