Search results

  1. mutisya mutambu

    Naombeni list ya topic za Physics A-level

    Ndani yake unakutana na newton's laws of motion, circular motion,projectile motion, fluid mechanics, gravitational.., Kwa uchache nadhani kuna vingine nimesahau
  2. mutisya mutambu

    Maajabu haya ya Pasaka hii yamenitokea peke yangu au?

    Nami nilienda kwa mama ntilie kula ugali ile naagiza ugali nyama analeta ugali dagaa,anadai kakosa nyama siku hiyo saa nne tu asubuhi mabucha yote hakuna nyama Hapo mawili, ng'ombe zilichinjwa chache ama wageni wengi sana sasa mjini
  3. mutisya mutambu

    Tundu Lissu alieko masomoni nchini Ubeligiji

    Sio uhuru radio hiyo?...hawajambo kwa kejeli, wakijua wasikilizaji wao ni wanachama tu..
  4. mutisya mutambu

    Ukili/ukindu/mikeka imepotea sana

    Kwa sasa moja kwa moja ukitaja neno mkeka utaeleweka unazungumzia kikaratasi(receipt) baada ya kubet, lakini vijana wengi wa sasa hasa dada zetu hawajui mkeka ni nini ama ukindu ama ukili. Wakina dada na mama zetu huko nyuma hii ndio ilikuwa kitu cha kufanya wakati wa mapumziko, ila kwa sasa...
  5. mutisya mutambu

    Waziri wa nishati ampongeza mama kuweka umeme kwenye nyumba ya nyasi

    Anampongeza kwa lipi?? Hizo mita za umeme wa rea zinefungwa na wao wenyewe,zipo karibia kila nyumba huko ambako umeme wa rea umeshapita, kinachofanyika ni kusubiri mwenyewe nyumba atakapolipia malipo kidogo sana ndipo anaunganishiwa umeme uwake. Hapo Ingekuwa waziri anampongeza huyo mama kwa...
  6. mutisya mutambu

    Rais Magufuli kupokea magari 181 ya kusambazia dawa nchini

    Hii kweli kabisa, shughuli zingine hazina hadhi ya raisi kuwa mgeni rasmi, kwa shughuli hii mkuu wa msd angetosha sana
  7. mutisya mutambu

    Bado kuna familia zinakataza watoto wa kike kuvaa suruali??

    Naona kwa sasa imeshakuwa rasmi vazi la suruali kuvaliwa na wanawake, si jambo la kushangaza tena kama ilivokuwa zamani.ningependa kujua bado kuna wazazi wanalishikia bango hili jambo.
  8. mutisya mutambu

    Nikila maharage yanatoka kwenye kinyesi kama yalivyo; nini shida?

    Habari wakuu, si mnajua siku hizi ni mwendo wa masinki tu huku kitu unakiona kabla hujakisindikiza na maji.. Sasa unavoona maharage yakiwa mazima kabisa tatizo ni nini?
  9. mutisya mutambu

    Msaada: Simu yangu haitumii phone data kwenye WhatsApp

    Mtandao unaotumia hapo ulipo upo chini..hiyo simu nyingine inayokupa wifi itakuwa na mtandao mwingine..so badili mtandao sawa na huo unaokupa wifi
  10. mutisya mutambu

    Kagera: Mwalimu kizimbani kwa kumkashifu Rais Magufuli

    Amenikumbusha movie ya sarafina vile madam masumbuka alivokuwa anapata shida
  11. mutisya mutambu

    Kutoka Ikulu: Ushiriki wa sekta binafsi katika Tanzania ya viwanda, Mengi akosoa ukadiriaji kodi kandamizi wa TRA

    Najaribu kulinganisha namna ya uongeaji wake kati ya baraza la wafanyabiashara la mwaka jana na lile la juzi naona kuna tofauti sana, mwaka jana ilikuwa 'tone' kali sana ila mwaka huu unaona kuna ka unyenyekevu kidogo kameonekana.
  12. mutisya mutambu

    Tanesco nna tuzo yenu.

    Mkijitahidi katika jiji la Dar es salaam msikate umeme japo mwezi mmoja, msikate hata mara moja, nitawapa zawadi nono sana, ntahamasisha na wengine wote waungane nami.
  13. mutisya mutambu

    RC Paul Makonda awaomba msamaha wananchi alioshindwa kutimiza ndoto zao

    Kutaka kuridhisha kila mtu hupelekea kufeli vibaya mno
  14. mutisya mutambu

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Kwa hali inayoendelea, idea ya Maandamano imefanikiwa sana hata kama watu hawatajitokeza mabarabarani.. Serikali inapoambiwa kuna Maandamano lazima iulize kwa nn waandamane? Hivo inajua sababu za wananchi ila hawana majibu zaidi ya vitisho
  15. mutisya mutambu

    Dr.Issack Maro anatengeneza vipi kipindi cha njiapanda kutokea japan

    Ukimsikiliza anakwambia kabisa naongea kutokea Tokyo Japan
Back
Top Bottom