Habari za asubuh wana Jf,kiukweli hizi habari za sensa zimenichosha ila inanibidi tu niulize kutokana na kukosekana kwa ukweli wa mambo kutoka kwa hawa watu waliopewa dhamana ya kusimamia ili zoezi huku ngazi za chini.
Huku kwetu bado ha2jaanza semina na ambayo hapo awali 2liambiwa 2ngeanza leo...
Habari za asubuh wanaJF, ni mmoja kati ya wa2 wanaoathiriwa na ugonjwa wa ukosefu wa AJIRA hapa nchini hvyo nimekaa na kufikiria nikaona ni bora niombe ku2mikia ofic za watu hata kama ctalipwa ili mradi ujuz nilio nao ucje ukapotea,swali je natakiwa niandike barua ya INTERNSHIP au VOLUNTEERING?
king2 labda mfumo wa tz ha2ufaham vema,ukwel ni kwmba tz sehemu nyngi kaz hutangazwa wkt tayar znawa2,kwa taarifa 2 kuna wa2 wa3 ambao wamemaliza udom dis yr kwa majina nawahfadhi wameshachukua hadi mikataba(contract) kwenda kusaini kwa kazi ambazo interview yke itafanyika kesho hpo TPA.
Kaka ckushauri wala usimshauri ku-reseat huyo dada etu, coz kuna uwezekano mdogo sana wa kupata crdt as far as i know kuwa siku hizi hakuna ku-reseat somo moja wala ma2 ni lazima afanye yote so anaweza akapoteza kabisa hata hzo crdt mbili alizonazo.Labda anachotaka ni kwenda Advance tuu ili...
Jana 2 tulishuhudia Mwananchi wa kawaida aliyekuwa akidaiwa kodi ya pango na NHC akitolewa nje na nyumba kuvunjwa,leo 2naona wizara ikiwa inadaiwa 391mil. na shirika hilo wakitolewa nje vi2 vyao 2 tena pasipo usumbufu, usawa uko wp katka hili, kwann hawa nao wasivunjiwe..???
Nani alaumiwe...
Frankly spkn i hate to be born in dis c ountry, b4 ha2jaamua kuandamana kwanza ningeomba 2ingie vijijini ili 2wajuze ndugu ze2 wa pande hzo athari zitakazotokana na kulipa madeni haya kwa maslah ya wa2 wachache,maana wengi wanasema 2andamane 2 wakati huko vijijini hawajui kinachoendelea Tz hii...
Hapo alimaanisha wale wanaojiita wasomi,ambao ni jamii moja na hao wa "DODOMA" na sidhani kuwa hilo tamko ni la hao wa dodoma ,bali ni wale wa "UDOM" maana hakuna asiyefahamu kuwa chuo chenyewe kimeanzishwa kisiasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.