Mtu alieua chui kwa mikono yake anasema, “Nilikiona kifo machoni. Nilisimama huku nikiwa nimekunja ngumi nikiwa tayari kupigana mithili ya bondia. Nilijiambia kwamba mmoja katiyetu lazima afe."
Haya ni maneno ya kishujaa ya Ndumiso Mona ambaye alipambana na chui anayedaiwa kutoroka kutoka...
Electrical popcorn machine inauzwa,
Ipo katika hali nzuri sana ilitumika kidogo ikawa imekaa tu ndani
Bei 200,000/= (haipungui)
Location: kunduchi mtongani
Call 0762 854563
Ukimweka chura kwenye maji na ukaanza kuyachemsha maji, kadri joto la maji linavyozidi mwili wa chura utakuwa unajibadili joto lake pia kuendana na lile la maji. Chura ataendelea kuongeza joto la mwili wake kadri maji yanavyozidi kuchemka.
Maji yatakapochemka sana ( yakifikia boiling point)...
1. Mwanamke ni kama shule, kamwe hauwezi hitimu.
2. Mwanamke anahitaji matunzo na kujaliwa usipofanya hivyo unakaribisha wengine kufanya hayo.
3. Cheti chako cha ndoa yako na yeye sio "leseni ya udereva" ni kibali cha kujifunza.
4. Inachukua muda kidogo mwanamke kukuamini, ni vigumu kumbadili...
Kwa mujibu wa wataalam wa saikolojia ya mafanikio adui mkubwa wa mafanikio ya binadamu huwa ni hofu na woga wa kuthubutu unaoigubika akili yake. Hili limethibitika katika ujasiri wa madaktari wazalendo ambao pamoja na kujazwa hofu walijitoa kwenda kufanya kazi nchini Kenya bila kujali lolote...
Wahenga walisemaga eti ukimcheka mtu unakuwa kama yeye sasa ngoja mie leo nicheke
"Hahahahaha[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] BAKHRESA hahahahahaha[emoji14]
[emoji13] hapo ndo utajua kwanini WAHA wakitaka kuvuka barabara huvua viatu na kuvishika mikononi.
Vip tukaiga na sisi ili tupunguze gharama za sensa na takwimu mbalimbali kama kujua idadi ya vifo, magonjwa mbalimbali yanayowakumba watu bila kwenda hospitali, kupiga kura bila kwenda kituoni, kupata taarifa za afya bila kwenda hospitali nk
Maelfu ya raia wa Sweden wameanza kuwekewa microchip...
20 - 25 = iwe kama ni kielimu hujafikia malengo yako, sitisha mara moja tafuta kazi/biashara ya kufanya, pigana kufa na kupona ili kama vipi urudi shule kwa pesa yako.
25 - 30 = Hakikisha uwe na angalau SHUGHULI RASMI kama umeajiriwa au umejiajiri kama Medical rep supervisor au shughuli...
Kuongoza nchi si kitu cha mchezo akili nyingi inahitajika ili kuweka mambo sawa. Profesa ni mtu mwenye akili nyingi kwaiyo kigezo kikiwa raisi wa nchi lazima awe profesa labda matatizo mengi yanaweza kupungua au kwisha kabisa.
Ukoo wa Urio Meru kijana akitumikia viboko 70 vya makalio baada ya kutohudhuria msiba wa ndugu yake akaenda kufanya kazi yake ya bodaboda.
Tengeru, Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.