Ngumu kusikia, ngumu kuamini, ngumu kuona , ngumu mwili ni, ngumu akilini na hata moyoni pia" nenda Comrade historia haitakusahau mbele yetu nyuma yake. Inauma sana tena sana.
Mtikila anasema ukweli juu ya niko wagombea zaidi kuwa lowasa si sahihi mnasema kalipwa na ccm ngojeeni watanzania watakapomnyima kura napo mtasema wamehongwa na ccm.. time never lie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.