Kuoa single mother(mke wa mtu) kwanza ni tusi kubwa sana kwa mabinti waliojitunza hawajazalishwa bado, wanasubiri wanaume wa kujenga nao familia.
Yaani unaacha wanawake fresh kabisa halafu unaenda kuoa mtu ambaye tayari ameshaingizwa labor na mwanaume mwenzio!??? Haloo no fedhea kubwa sana...
Ni kweli kipindi Cha Pele game ilikuwa physical Sana... Na hapakuwepo na sheria za kuwalinda wachezaji Kama hii leo.
Mfano tackling from behind ilikuwa inaruhusiwa na ilikuwa ni kawaida sana kufanyiwa tackling na wachezaji wawili kwa wakati mmoja, kuvunjwa mguu ilikuwa ni kugusa tu.
Lakini pia...
Kama ulinielewa vizuri niliposema Kama kigogo tu pekee anaweza kupata taarifa muhimu za mipango ya siri ya serikali, je kwa magaidi au watu wenye nia ovu na serikali itakuwaje!?
Kwa ufupi hapo nilimaanisha serikali yetu hii na taifa zima kwa ujumla tuna weakness kubwa sana yaani tuko uchi na...
Na wewe mangi unarusha tuhuma za ukabila kwa msukuma tena kwenye suala la ajira?
Kuna mtu ambaye anajari watu wa kabila lake linapokuja suala la ajira nchii hii Kama mchaga?????????
Kwanza tunapoongelea ukabila kwenye taifa hili, mchaga awe ni mtu wa mwisho kabisa kuwanyooshea wenzake vidole...
Umeelezea vizuri mkuu lakini hawa majogori sidhani watakuelewa.
Hawa majogori wanachojua wao wasukuma ni watu wa kuchunga ng'ombe tu, hawana shule na hakuna lolote wanalojua na wakipewa nyadhifa yoyote serikalini basi ni upendeleo na sio kwa sababu za kitaaluma.
Lakini binafsi siwalumu sana...
Wengi wa hao wanaowatuhumu wasukuma kwamba ni wakabila unakuta hawajawahi hata kuishi na wasukuma.
Kwanza wanamtumia Magufuli Kama kielelezo Cha wasukuma wote, kitu ambacho ni upumbavu mtupu.
Yes, Magufuli anaweza akawa ni mbabe,mkali na mkabila lakini aimaniishi kwamba hizo ni tabia za...
Mbona inafahamika aliyepo nyuma ya hiyo account ya kigogo ni Zitto na crew yake sema serikali bado inatafuta uthibitisho usio na mashaka ichukue hatua rasimi.
Sambamba na Hilo, kitendo cha serikali kusumbuliwa na huyo mtu mmoja tu kwa kipindi chote hicho tena kwanjia ya mtandao, kinaonesha tuna...
Yeah!!
She's never yours, the only time she is yours is when she is around you, hence make sure you enjoy her to the fullest when she is yours before she transfer that temporary ownership to another dude.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
"SHE IS NEVER YOURS, IT IS JUST YOUR TURN"
Ukiishi kwa kuamini hii falsafa utajiepusha na maumivu yasiokuwa ya lazima.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo wewe umetumia akili yako na ukagandua kwamba akina Petro walikuwa ni wapiga nyeto tu Sio??
Yaani akili zako zina usahihi zaidi kuliko maandiko[emoji44][emoji44][emoji44]
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Wanawake wanavutiwa na wanapenda kuzaa na mwanaume mwenye alpha elements. Na mara nyingi hao bad boys ndio wanazo hizo alpha elements.
Mwanaume ukiwa mstaarabu sana wanawake wanakuona dhaifu na unaboa, na hawapendi kuzaa na mwanaume wanaemuona ni dhaifu.
Sema mara nyingi hao wanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.