Wadau,
Kwa heshima na taadhima naomba maoni yenu kwenye hili pia.
Je wagombea wa vyama wanaruhusiwa kubaki ndani ya vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura zao?
Na je wanaruhusiwa kuwepo kwenye kuhakiki kura kama mawakala na wasimamizi??
Nawasilisha.
Nilishawahi kuisoma hii link ya gazeti la sauti huru ni hoja nzuri na ina uhalisia. Kwani si kila mtanzania mwenye uwezo ana haki ya kugombea urais kwa kupitia chama chochote kitakachomkubali kwa kuzingatia zile kanuni za chama husika ??
Ndio maana nikasema wewe ni stupid kama shoga yako bure..ule..mbo nadhani sasa umeniamini.
Ukitoa mada stick kwenye mada usichanganye hoja tofauti na mada.
By W. J. Malecela
- Wajiunge na chama kimoja kama vipo 4 haijawahi kutokea Duniani, unataka wananchi wampigie kura mtu hana chama...
Stupid kabisa wewe
Usihamishe hoja yetu, ulisema haujaona duniani mgombea binafsi asiye na Chama, hiyo ndio hoja yetu mimi na wewe sasa nijibu kwanini fisiem hamtaki mgombea binafsi???? HOja yangu mimi na wewe, usi mix hoja. Nijibu.
Kweli wewe stupid Kama kubwa jinga mwenzio bure..ule..mbo
Ulisema hsujaona duniani na sio Tanzania yenye katiba ya JMT ya CCM inasema hivyo na katiba mpya ambayo nyie mafisi-m hamuitaki ili muendelee kuvikandamiza vyama vya upinzani soma maelezo haya kidogo
Ibara ya 216.-(1) katika rasimu...
We shetwani kabisa... Niambie ufisadi wa lowassa Richmond alichukua bilioni ngapi? Na je mtambo huo upo au umeshakufa? Na kama upo ni nani mmiliki?? Na kwa nini serikali bado inailipa kampuni hewa?? Na kwanini Marais wote wamarekani kila wakija tz wanaenda na jeikei kutembelea huu ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.