Search results

  1. L

    Wabunge wa CHADEMA kumpeleka Ulimboka India kwa matibabu

    left-hand thinking capacity
  2. L

    Mbowe aungana na Mnyika kusema serikali ya Kikwete dhaifu

    silly thread ..... a continued extended ignorance
  3. L

    Zitto na Nchemba now on tbc

    huyu mwigulu nchemba sijui kwanini alikubali kwenda TBC kujadili mambo ambayo hayamudu well done zitto ... umeeleza ukweli na ukaeleweka kwa manufaa ya taifa
  4. L

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    in JF .... you can sometimes enjoy a bundle of ignorance from professional ignorant's
  5. L

    Ratiba ya maziko ya mama yetumpendwa..mama pdidy kesho saa nane

    mama Pdidy mungu akupe pumziko jema nasi tukuombee roho yako ikae mahala pema na sisi utuombee safari njema ya hapa duniani .... ili mwisho wote tukutane katika ufalme wa bwana
  6. L

    Supplier wa vifaranga na vyakula vya kuku

    mkuu weka bei hapa jamvini ..... Broiler Starter, Finisher? bei gani Layers (grower and mash) je ni nini chakula chako kiko tofauti zaidi na vingine kama Falcon, IGO au Hill ..... competitor advantage je mteja akihitaji bulk mnaweza kufanya delivery weka na formular yako hapa...
  7. L

    BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    hivi ... leo nikihesabiwa kama muislam halafu kesho nikabadilisha dini na kuwa mkristu .... hizi data zitakuwa zinapotosha mbali na kuwa useless
  8. L

    BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    will the boycott help to know the population of Muslims?
  9. L

    Cement mixer

    are you talking about concrete mixer ? mixing sand, cement and aggregates with water to cement ratio
  10. L

    Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    @RITE mkuu ... ndiyo hiyo hiyo ninayohitaji .. je ninaweza wapi kupata mbegu ya majani haya ya Lucine (Leuceana) natanguliza shukrani
  11. L

    Mayai ya kienyeji /vifaranga wa kienyeji

    RETI Lucina .... unamaanisha Lucerna (Alfalfa lucerna) .... mkuu ninaitafuta sana mbegu ya majani haya .... je unaweza kunisaidia nitaipataje? natanguliza shukrani
  12. L

    Nimepoteza mama yangu kipenzi usiku wa leo

    mkuu Pdiddy pole sana ... hii ni mapenzi ya mwenyezi mungu .... sote tutaifuata safari hii ya mama yetu mpendwa mungu amuweke mahali pema
  13. L

    Mwenye gari hizi tuwasiliane fasta...!!

    Toyota Hiace Super custom, 4WD, Diesel
  14. L

    Chadema yapewa msada na christian democratic union.

    kwani kuna ubaya gani ...?
  15. L

    Portable dvd prayer needed

    ha haa haaaa ..... Gele vaheke bana ..... mkono wa mtu tena ilhali umedesa
  16. L

    Portable dvd prayer needed

    hivi DVD prayer ni kifaa gani .... au mimi nipo nyuma na technology?
  17. L

    Wabara wacheni kiherehere ,Muungano ukifariki ,ipo kazi.

    yaani Mwiba amerudi humu jamvini ..... usitegemee cha maana kwake huyu ..... maji taka tuu
  18. L

    CUF na CHADEMA kipi Chama bora?

    kwani cuf inasimama kama chama .... inasimama kama mke wa chama cha jembe na nyundo
Back
Top Bottom