huyu mwigulu nchemba sijui kwanini alikubali kwenda TBC kujadili mambo ambayo hayamudu
well done zitto ... umeeleza ukweli na ukaeleweka kwa manufaa ya taifa
mama Pdidy mungu akupe pumziko jema nasi tukuombee roho yako ikae mahala pema na sisi utuombee safari njema ya hapa duniani .... ili mwisho wote tukutane katika ufalme wa bwana
mkuu
weka bei hapa jamvini ..... Broiler Starter, Finisher? bei gani
Layers (grower and mash)
je ni nini chakula chako kiko tofauti zaidi na vingine kama Falcon, IGO au Hill ..... competitor advantage
je mteja akihitaji bulk mnaweza kufanya delivery
weka na formular yako hapa...
RETI
Lucina .... unamaanisha Lucerna (Alfalfa lucerna) ....
mkuu ninaitafuta sana mbegu ya majani haya .... je unaweza kunisaidia nitaipataje?
natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.