https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/964540-kuepusha-shari-ushauri-wa-bure-kwa-mbowe-tume-ya-taifa-na-ccm-kuhusiana-na-kuaminiwa-kwa-matokeo.html huyu MMM kaweka ushauri ulio sawa na fair
MMM katika hili tupo pamoja,tungeomba NEC waweke wazi palipo na lawama na vilevile Ukawa waweke wazi matokeo walio na utata nayo ili iamulike mapema na kwa amani #tanzaniakwanza
MMM katika hili tupo pamoja,tungeomba NEC waweke wazi palipo na lawama na vilevile Ukawa waweke wazi matokeo walio na utata nayo ili iamulike mapema na kwa amani #tanzaniakwanza
kimevurugikaje na ukawa wamesema wana vituo vingi zaidi? ndio maana wanayo matokeo mengine ambayo ni tofauti na hayo waliyonayo NEC, hebu tuwasikilize kwanza au haki ya kusikilizwa haipo tena?? wategemee tume ambayo hawana imani nayo. Na wasiwasi na hichi kiwewe
aisee Mbowe akomae,tumechoka kuburuzwa buruzwa na kuhubiri amani ambayo amani yenyewe ni kukubaliana na chama tawala na serikali yake. haki iko wapi kama uhuru wa kujadili matokeo haupo?? tuache ushabiki wa kisiasa, hoja za Mbowe zijibiwe na NEC ili wananchi wapate imani na hili swala
habarini wadau,
Pengine katika kujiongezea upeo, kwa wale wenye exposure zaidi. Ningependa kujua fursa zipatikanapo kwa wajasiriamali wadogo kwa wakubwa, maana nchini kumekuwa na viwanda vingi vya cement vinafunguliwa katika mikoa tofauti
Baba Junjo, tena inashangaza hawa wachina wapo mpaka balozi zetu; nenda uingereza pale ubalozi wa tanzania passport yako itachekiwa na mchina, mchina kabisaa!! nashindwa kuelewa nchi yetu inaelekea wapi?
takribani wiki sasa imekuwa ikionekana ndege zikishuka na wachina lukuki na airport kujaa kama vile tupo beijing!!
kulikoni jamani?? ndege aina ya boeng imejaa wachina zaidi ya mia mbili kama wanavoonekana pichani hapo ni vipi? je wamekuja kwa visa ipi? utalii? kazi?
Hivi sasa sie kupata vibali...
nimesikitika sana kuona jinsi hii mada ilivyochangiwa!
wengine wametokea kuwachafua baadhi ya wafanyakazi wa voda/nsn tofauti na mada ilivoelekeza, hii inaonyesha ni jinsi gani watanzania hatupendani kwa hali yoyote. Nilitegemea kama huyo mwenye mada tofauti angeianzisha kimpango wake kukidhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.