Ndugu wana JF habari za majukumu ya kulijenga Taifa letu!
Katika utafiti wangu mdogo kwenye shule kadhaa za kata nimejionea mwenyewe na kugundua kuwa mbali na uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi na mahesabu (BIOLOGY, CHEMISTRY, PHYSICS & B/MATHS). Lakini uhaba wa walimu wa hili somo la Physics...
Ndugu walimu wote Tanzania!
Hongereni kwa kazi ya ujenzi wa taifa hususani katika kukuza vijana kitaaluma na maadili bora.
Aidha niwape pongezi kwa uvumilivu wenu maana mmechagua kazi yenye changamoto nyingi sana mfano mazingira duni, maslahi kidogo yaliyoambatana na makato lukuki nk.
Ndugu...
Ndugu walimu wote tanzania!
Hongereni kwa kazi ya ujenzi wa taifa hususani katika kukuza vijana kitaaluma na maadili bora.
Aidha niwape pongezi kwa uvumilivu wenu maana mmechagua kazi yenye changamoto nyingi sana mfano mazingira duni, maslahi kidogo yaliyoambatana na makato lukuki nk.
Ndugu...
Wanabodi tujiulize wote kuhusu mh. Shibuda naona ukimya umetanda kwa huyu mheshimiwa yuko "a" au "b" nasema hivyo kulingana na misimamo ya huyu mheshimiwa sana. Kama yupo ebu atuambie maoni yake juu ya escrow!
Usipopigania haki yako mwenyewe hakuna ambaye atahangaika na wewe. Ndugu walimu wenzangu hasa vijana maana wazee hawawezi kutuunga mkono wengi wao age yao ni 50 na kuendelea tgts zao ni e.
Tukutane bungeni hapo tarehe 29 walimu wote vijana na cwt wadhamini magari ya usafiri kutoka wilayani...
Ndugu wananchi, hasa wa Wilaya BAHI ninawasihi kwamba tusije tukathubutu kuridhia uchimbaji wa madini hatari sana ya Urani kwani madhara yake huathiri vizazi vingi sana. Kuna watafiti wengi sana kutoka mataifa mbalimbali ambayo yamepewa baraka na serikali yetu kwa kuwashawishi watu wa BAHI...
Peples power. Watu wote ambao wamejitambua, kesho tarehe 25.06.2011. Tutakuwa na kikao cha watu wote kutoka ukanda wa Kikuyu. Wanaohitaji kadi za CDM wote mnakaribishwa na mgeni rasimi ni MP Wetu wa ukweli Mh. ZITO KABWE. Karibuni sana ni majira ya saa 9 mchana mahali ni G7
Jamani wanaja JF nawaomba/kuwasisihi tuwe wawazi, bila kuwa na itikadi, upendeleo wala ushabiki na ushushushu. Wabunge wa chama gani wanafanya maelfu ya watu kupenda kusikiliza/hata kuangalia bunge letu?. CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, UDP, CCJ au chama gani.? Mimi bila kupendelea kama wasingekuwepo...
Najiona kama ni mtu niliyekumbuka shuka wakati ni asb.kumekucha. Ni Mr TANO ATHANAS NCHASI. Kutoka Dodoma St. JOHN'S UNIVERSITY. Nawaomba wanaharakati tujuane jamani ili na mimi niwe active member. Ambaye atakuwa interested hata kwa contact ni
{ 0776934915 }. Ndani ya JF tufanye mambo kuleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.