Habari za majukumu wakuu,
Kwa wale wenye ufahamu/uzoefu wa uchapishaji, naomba kufahamu mchapaji mzuri wa vitabu hapa Dar. Kuna kazi kubwa ya kufanya.
Asante.
Uuzaaji wa siroli (syrup) ulikuwa heshima kwa zawadi na vipaji vya mwanamke huyu. Sasa vizazi vijavyo hawatamtambua mwanamke huyu mzuri aliyekuwepo. Ni aibu.
Dunia ilimfahamu kama "Bibi Jemima," lakini jina lake halisi lilikuwa Nancy Green na alikuwa kielelezo cha mafanikio ya kweli ya...
Kisimbuzi cha Azam kinajizima na kuwaka kinapotaka, ni wakala gani maeneo ya Chamazi anayerekebisha hizi vitu manake nilienda kwenye duka la wakala nilipokinunua (nilinunua mwezi September) fundi wao akasema nitoe elfu 25 abadili LNB na HDMI cable?
Naona matangazo yanasema marekebisho ni bure...
Hii ni offer kubwa kwa sababu nina uhitaji wa haraka wa pesa. Heat press machine iko full na vifaa vyake vya kuprint caps,mugs,plates (5in1) vipya. Na Epson L3110 imetumika kidogo sana ni kama mpya.
Vyote jumla ni Tshs. 800,000/= tu!
Tuwasiliane 0693153565
Nauza printer mpya Epson L810, inaprint picha, CD, ,business card za pvc n.k.
Bei ni shilingi laki saba na nusu (750, 000). Bei ya shop ni mpaka mil.1.
Nicheki 0713767579
Habari za majukumu wanajamvi.
Kama uko interested na biashara ya kuprint t-shirts, kofia, vikombe, sahani n.k, njoo nikuuzie Heat press machine ambayo ni 4in1 pamoja na printer EPSON L810 kwa TSHS. 1, 700, 000/= (milioni moja na laki saba).
Pamoja na vitu hivi, nitakupatia baking paper.
Habari za Jumamosi ya leo waungwana,
Tafadhali, kwa mwenye kufahamu hatua za kufuata ikiwa unataka kuipata simu iliyopotea kwa kutumia IMEI# naomba anifahamishe.
Hii ni baada ya kutoa taarifa Polisi.
Ni dhahiri kwamba kampeni za uchaguzi mkuu huambatana na gharama kubwa sana. Vyama vya siasa vimekuwa vikitumia gharama kubwa kuandaa mikutano, fulana, kofia, vipeperushi, takrima za hapa na pale n.k.
Kufuatia janga la Covid19, ambalo linaonekana kuendelea kuwepo katika jamii, napendekeza, kwa...
Habari za majukumu Wakuu?
Napenda kuchukukua fursa hii kuuliza kama kuna kituo cha afya hapa Dar ambacho wanatoa miwani kwa kutumia bima baada ya kuwa umepimwa.
Habari wakuu,
Nina external hard disk aina ya trascend 3TB ambayo imedondoka na kupasuka cover ya nje ambapo hata hivyo baada ya kudondoka imeendelea kusoma lakini baada ya muda imegoma haisomi kwenye devices ninazotumia japo inawaka taa inayoonyesha kuwa inapokea moto.
Naomba kujua kama...
Habari za kutwa wana forum. Kwa yeyote anayefahamu kampuni/duka linaloruhusu mkopo wa samani za nyumbani kwa watumishi wa umma naomba anifahamishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama inavyosomeka hapo juu, inahitajika nyumba ya kupanga maeneo hayo niliyoyataja au karibu yake. Kodi isizidi milioni moja kwa miezi 6.
Sent using Jamii Forums mobile app
Quoted...
"It is easy to place the blame for hardships on the shoulders of humanity’s leaders if they are not the leaders that you chose. In the minds of their opposition, a leader turns into an enemy; their mistakes turn into premeditated attacks; their human flaws turn into irreparable...
Kipo Toangoma mtaa wa Masaki ,sio mbali na stand kuu ya Toangoma na ni karibu na shule ya sekondari, ukubwa wa eneo ni futi 60 kwa 70. Hakina hati na bei yake ni tshs million Saba (7,000,000/=)..Nicheki pm kwa mawasiliano zaidi.
N.B. Tunaweza kufanya exchange na Toyota ambayo ni Hatchback..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.