Watoa huduma za simu nchini wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa serikali katika kuangalia upya kodi za miamala ya simu iliyotokana na sheria mpya ya fedha kwa mwaka 2021/22, huku wakisisitiza kuwa uamuzi huo utaongeza chachu katika uwekezaji ndani ya sekita hiyo.
Hayo yalibainishwa jijini Dar...
Watoa huduma za simu nchini wamepongeza uamuzi wa hivi karibuni wa Serikali katika kuangalia upya kodi za miamala ya simu iliyotokana na sheria mpya ya fedha kwa mwaka 2021/22, huku wakisisitiza kuwa uamuzi huo utaongeza chachu katika uwekezaji ndani ya sekita hiyo.
Hayo yalibainishwa jijini...
HILI JAMBO NI KWELI KABISA, KUNA MOJA IPO MAENEO YA MLIMANI CITY WALIMFANYIA HIVYO MDOGO WANGU ALIKUWA AMETOKA KIJIJINI NIKAENDA PALE NIKATAKA KUMTOA MTU ROHO, SHUKURANI KWA KIONGOZI WAKE AMBAYE ALIRUDISHA HELA NA KUOMBA MSAMAHA LA SIVYO LEO NINGEKUWA GEREZANI KIFUNGO CHA MAISHA AU KUSUBIRI...
kwanza nimshukuru mleta uzi huu kwa kutambua uwepo wa wameru nasi tunapenda makiki pia, niseme tu mimi ni kaaya kutoka ndoombo jirani na akheri au nkuarua au sing'si unapandia hapa tengeru chini ya mlima meru ndiyo kwetu aisee, mbunge wangu joshua nasari wa mulala kule usa-river, sisi ni wameru...
hivi mkuu umefuatilia kinachosemwa? mtu akikupa ushauri wa huko uendako ili ujipange kuna tatizo? nyumbu ni nyumbu tu au ulitaka ampe ushauri au amsifie akishakufa?
Wakuu mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hizi shule ni miongoni mwa shule zenye usafiri bora kabisa ukilinganisha na hizo nyingine mtu unamuomba mungu tu mtoto aende na arudi salama
Mkuu current data zinaonyesha the sun linachapa nakala milioni 5 kila siku na saa 4 magazeti yamesha coz wana subscriber maalum ambao hawakosi kulisoma sawa na gazeti kama ijumaa, ijumaa wikienda, risasi, amani na uwazi kuna watu hata hawajui habari iliyoandikwa lakini wanamtuma mtu akalinunue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.