Hivi mchungaji unaposema unachati kwenye jf nyakati unapokuwa job kiwandani unataka kutueleza kwamba muda wa kazi ndio unachati? Sasa kuna tofauti gani wale wanado ambao muda wa kulala wao wanachati?
Hata wewe ni wale wale! Mleta mada hajaeleweka maana gari inaweza kuwa na speed 240 lakini ikapitwa na yenye speed 120 kwa vile hii ya speed 240 inakimbia say 90km/h na huyu wa speed 120 anakimbia 100km/h unategemea nini hapo? Lazima anaetembea 100km/h ampite anaetembea 90km/h
Mkuu unashangaa. Siasa za bongo Ukiwa point A hufai kabisa wewe ni mchafu najisi (unfit for human consumption) lakini ukihamia point B wewe uko msafi halali kabisa! Jamaa alisema hawa jamaa nawajua vizuri sana ni wezi wa kura lakini msihofu nyinyi lindeni kura za wabunge lakini zangu (urais)...
Ushabiki wa vyama nimekoma aisee! Watu waliumizana kwenye kampeni na wengine walikufa kwa kukanyagana huko Morogoro lakini wengine wachache wanapenya kiulaini! Really politics ni mchezo mchafu
Kwani unaposema hukubali kuiacha familia yako yatima unaona una msaada wowote kwao?(familia yako) Tangu lini kulakulala akawa na msaada kwa wengine zaidi ya mzigo! Koroboi!
Huyu mtoa mada sijampata kabisaa! Analalamikia nini? Maana kichwa cha habari anasema tujadiliane lakini mwisho wa siku anacomment mwenyewe! Shule bana!
Sikubaliani mtoa hoja kwa sababu mkumbuke idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume itawezekana vipi wanawake wote wawe na wanaume? Uwezekano wa kumkuta single upo!
Wakuu kwa hilo umetokota. Mimi ni ccm damu lakini kwa hilo la maji tusimuhukumu mnyika maana hata akiingia mkangala tusitegemee maajabu kwenye maji. Mnyika alifanya juhudi zake. Tumuhukumu kwa kutotembelea wapiga kura wake kwa kipindi chote cha 5yrs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.