Wakunyumba Lukoi inainekana pamoja na kukaa ulaya naona mawazo yako bado ni mgando sana, ila si tatizo naaona bado unajisafisha baada ya kujidai CDM damu ukaona mambo yako kibiashara hayaendi ikakubidi Urudi sasa unataka wajue kuwa umerudi kweli ndiyo maana kila kukicha huachi kupost juu ya CDM...
Hata office ikiajiri mtaalama mshauri (Consultant) kutoka nje lazima akatwe KODI kwani ndiyo utaratibu huo ndiyo maana wengi huwa wanafuatilia Kiasi cha Kodi hiku ndiyo wanaweka Bei zao ili wasipate hasara. Kiseheria ROSS anatakiwa kulipa KODI kwa KIPATO alichopata kwenye nchi yetu ni jambo la...
Tembeleeni hapa mtapata kila kitu juu ya maandamano ya CDM kule mbeya Nguvu ya shitambara imeonekana CDM wamepata wafuasi kiduchuuuu thats why muheshimiwa regia haweki picha anaona haya
Mbeya Yetu
Bila ubishi mbowe sasa ameshafikia mwisho wa uwezo wa kuongoza chadema anatakiwa apishe wengine tusipoangalia sasa hivi chama kitadorola kama ilivyotokea kwa NCCR.
Anaendesha chama kiajabu ajabu, Umeona mnyika kashamuhama sasa yupo upande wa zitto, bado mdee. Lema mropokaji tu hana lolote na...
Safi sana mtitu usimuachie huyo. Ila kuwa macho kwani jamaa anajua kucheza na rushwa huyo atawahonga watu kibao kama alivyohonga Ludewa kwa kuwanunulia pombe na na kumuhujumu prof. Mwalyosi hadi akaonekana hafai wakati alijitahidi sana kutuletea maendeleo. Alinunu kadi za CCM akawapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.