Kafulila hana jipya isipokuwa omba omba kwa watawala yeye kama mbunge kupitia chama cha upenzani asingepaswa kuunga mkono hutuba ya Rais hasa kipengele kinacholenga kudhoofisha vyama vya upinzani na kupotosha ukweli kuhusu dhana nzima ya wapinzani kuelimisha jamii kwa njia ya maandamano
waache akina makamba walewe madaraka kama wamesahau kuwa mtu akilewa huwa nafanya mambo ya aibu bila kujali ni nani anamwangalia kwakuwa watajikuta wakivua nguo zao hadharani wakidhani ni umaarufu eti hawaogopi kitu kama mlevi anavyojisikia fahali kuurinate hadharani
Hapo hakuna hoja nikuendelea kujitapa tu kwa mawaziri wapya wasiojua waanzie wapi katika kutatua matatizo yanayozikabili wizara zao
wajifunze kwa john pombe magufuli jinsi anavyojipanga katika kufanya kazi zake kwa ufanisi.
Kama kombani anania ya dhati basi kwa mjibu wa wadhifa wake anao...
hata bukoba pale miembeni, pia arusha ukiacha hapo mianzini ambapo wameanza kuita bata mzinga ipo bar ya songambele pale sakina hata mwanza mitaa ya kilumba mkuu zipo nyingi
Ndugu Zitto nikupongeze kwa kujitokeza kuelezea msimamo wako pamoja na kutuahidi utiifu wa maamzi ya vikao vya Chama hapo umenena.
Napenda nikueleze tu kuwa ukiona threads nyingi kwenye JF zikiandikwa kinyume chako hapo ujue kuwa umekengeuka au umeenda kinyume na matarajio ya watu waliowengi...
Rafiki inaonekana wewe Zotto ni Model wako ktk jamii au siasa lakini ngoja nimi walahu nitie neno ktk utetezi wako huo.YAMKINI ZITTO KASOMA MAHALA
Hilo halina shida ila kumbuka kuwa mtu anaposoma kitu na kukielewa huwa anafanya upembuzi na kisha kuamua kukitumia kuelezea hisia zake hasa...
MKUU nadhani bado hujaelewa malalamiko ya wananchi kuhusu CUF tatizo siyo Mwafaka wa Zanzibar Tatizo ni viongozi wa CUF kujikomba kwa CCM kiasi kwamba wamesahau kuwa mjibu wa chama cha Ushindani ni kuiondoa serikali iliyoko madarakani kwa mikakati thaditi.Mfano ni juzi tu ndugu yetu Hamadi...
you don't know! There are a lot of people i would like to agree with this equation not otherwise cmd=members.that means people and cmd pontential leaders will pass but cmd and members will remain.
Kaka hapo unakosea watu hubadirika Sitta sasa ktk CCM ndiye tunamwona wadilifu na anafuata nyayo za baba wa Taifa hivyo ni bora tuombe mungu tetesi hizi ziwe za kweli kwakuwa Sitta anauwezo wa kujenga hoja ya kubadili katiba na mambo mengi yaliyopitwa na wakati kurekebishwa ila sidhani kama CCM...
Watu wanaosema kuwa CHADEMA imejimaliza hawaelewi hali ya kisiasa na mwamko ulioko katika nchi yetu hivyo CCEM watakosea sana kupima kuja kwa mto kwa kutumia kijiti haya ni mafuriko hivyo naomba heshima mtindo mmoja kwa salamu za Wabunge wa Chadema pale Bungeni siku ya JK hotuba
:target:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.