Mwadhama Kadinali, Polycarp Pengo amesema kwamba kauli iliyotolewa hivi karibuni na Askofu wa Jimbo la Rulenge mkoani Kagera, Severine Niwemugizi kwamba Katiba mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi ni maoni binafsi siyo msimamo wa Kanisa Katoliki nchini.
Pengo alisisitiza hilo wakati akitoa...
Rais Magufuli amesema yeye sio mwanasiasa na alikuwa anawachukia wanasiasa tokea akiwa chuo kikuu amesema hayo leo Dodoma akipokea taarifa ya uhakiki wa vyeti.
My take: Mbona amekubali kuwa Mwenyekiti wa taifa wa CCM ambacho ni chama cha siasa?
Serikali ya Angola imetangaza visa viwili vya ugonjwa hatari wa zika ambao umeingia nchini humo miezi miwili iliyopita. hayo yametangazwa na waziri wa afya wa nchi hiyo.
chanzo: radio one saa 2 usiku huu.
ninacho kipato (net guaranteed income) ya shs 250,000/- kwa mwezi zinazotokana na wapangaji wangu wa kibiashara kwenye nyumba, na wenye mikataba ya kudumu. nahitaji mkopo wa shs milioi 20 wa muda mrefu.
naomba jibu humu au inbox.
Wadau, hii taasisi (au NGO) ya REDET miaka ya nyuma kidogo ilikuwa mstari wa mbele kutuhabarisha kuhusu hali ya demokrasia hapa nchini. Hata kipindi cha uchaguzi walikuwa wakitoa updates za mara kwa mara hadi mchanganuo wote.
Ni muda mrefu umepita hatupati taarifa kutoka kwao, je wapo? Na kama...
nimeoa mke na tunaishi jirani na mama mzazi.nimegundua kuwa:-
1.mke wangu hana mapenzi ya dhati na mimi, bali alikubali tu kwa kuwa nilimpa ujauzito kabla ya kumuoa.
ananiletea kiburi na nikimkaripia ananiambia nimrudishe kwao. ninapopeleka mashtaka kwa mama anamkingia kifua maana wanapendana...
wadau naomba kufahamishwa: ikitokea rais aliye madarakani akafanya mambo kinyume na miongozo ya chama chake na vikao vya juu vya kichama vikamfukuza uanachama, je urais wake utakoma?katiba yetu inasemaje juu ya hili?
Tokea mfumo wa vyama vingi uanze Tanzania, ni wazi hakuna uchaguzi ulio na ushindani kama wa mwaka huu, hasa kati ya CCM na UKAWA.
Kwa jinsi kampeni zilivyo na mwamko mkubwa wa wananchi ulivyo, kila upande umekuwa ukitumia nguvu nyingi katika uhamasishaji, kujinadi, sera, kukashifiana na rafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.