Mkuu soma vizuri ripoti.
hao wanunuzi walioorodheshwa ni wale ambao walitaja hizo bei zao wakati serikali ilipotoa deadline. kwa nini serikali ili- react masaa machache tu kabla ya muda?
too late. Kenya wanalalamika mahindi yao ni mengi na bei zimeporomoka hivyo hawahitaji importation. na malawi nako hivyo hivyo. na hizo vurugu za Congo nani ata-risk kupeleka huko?
kwa nini baada ya koroshonaizeshen isifanyike mahindinaizeshen?
"NA PESA IPO.'
ule utafiti was TWAWEZA ulibainisha aina ya watu, kiwango cha elimu, uchumi wa watu na maeneo ambayo CCM inapendwa.
kwa hii thread nimeamini utafiti ule.
Kwani lazima Manji awe kiongozi ndani ya Yanga ndipo aweze kufadhili klabu?
Mbona sikuwahi kumsikua MO akigombea uongozi Simba lakini ameweza kuwa mwanahisa mkuu wa klabu?
Sifa nyingine wajameni mmmh!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.