Nyumba inapangishwa maeneo ya Kimara Mwisho,
Ipo upande wa kushoto kama unaelekea Ubungo.
Ina vyumba viwili (2) vya kulala, Sebule, Toilet ndani na Jiko.
Haina uzio (fence), LUKU ya ku-share wawili na ipo katika mazingira tulivu.
Kodi ni ndogo, inamfaa mtu anaehitaji nafasi kubwa ambae...
Tunao wanahistoria wengi makini wanaoweza kueleza mambo haya kinaganaga kuliko tunavyofanya katika makala za magazetini, lakini ama hawajapata jukwaa au hawako tayari kufanya hivyo.
Namuunga mkono Issa bin Nasser kwa aliyosema katika kitabu chake, Zanzibar: Kinyanganyiro na Utumwa.
Aliandika...
Mwenye uzoefu kidogo katika mambo hayo naomba anisaidie. Kozi ipi ni nzuri kusoma Mzumbe Universitykati ya Msc Accounting & Finance na MBA Corporate Management kwa mtu ambaye tayari ana ACCA au CPA? Uzuri katika maana ya kupata ajira kirahisi, uwezo wa kujiajiri, applicability na releveance kwa...
Ninaomba msaada kwa yeyote anaejua zinapopatikana fomu za kujiunga za shule zifuatazo anitaarifu;
Rosmini High School - Tanga
Anwarite Girls Secondary School - Moshi
St. Marys Mazinde Juu
KANDOTO SAYANSI GIRLS Secondary School
Precious Blood - Arusha
Ninahitaji msaada mapema ili niweze...
Gari inauzwa, ni nzuri sana na ipo kama mpya.
AINA YA GARI: TOYOTA SPACIO NEW MODEL
ENGINE SIZE: 1,496 cc
FUEL: Petrol
Year of manufacture: 2002
BEI: TZS 14,000,000 (Negotiable)
Kwa maelezo zaidi, piga namba 0715-101740
Tarehe 6/5/2012 Jumapili iliyopita, watu wa Ufaransa walifanya uchaguzi wao ambao tulishuhudia ukimfanya François Gérard Georges Hollande (Socialist Party) kuwa Rais wa 24 wa Ufaransa tokea mwaka 1848 ambapo Napoleon III alikua Rais wa kwanza. Uchaguzi huo ambao ulikua na ushindani mkubwa kati...
Nimefungua biashara ya Mgahawa sehemu flani hapa jijini Dar es Salaam, nimeweka wafanya kazi 3; mmoja kwa ajili ya chips na wa2 kwa ajili ya chakula kwa sababu biashara yenyewe bado changa. Eneo ambalo nafanyia biashara lina population kubwa na halina competition kubwa sana. Mimi napitia mida ya...
TANZANIA REVENUE AUTHORITY
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
POSITION: ASSISTANT TAX OFFICER
Purpose of the Job
To conduct desk/field audits and report to Tax Auditors.
To collect Government revenue and implement enforcement procedures.
Major Activities of the Job
(i) Conduct desk and field...
Tumeshuhudia viongozi CCM na magazeti mengi yakitangaza kuwa CCM imejivua gamba kwa kuvunja sekretarieti ya CCM iliyokuwa chini ya Makamba, Chiligati, Mkuchika na wengine ambao sijawataja. Je, ni kweli kuwa viongozi hao wa chama ndio waliokuwa gamba ambalo CCM imetangaza kujivua?? Na je, huo...
Baada ya kulidanganya bunge kuhusu mauaji ya Arusha na kugundua kuwa kweli hakuwa sahihi (Kutokana na Spika kutokumhoji tena Mh.Lema), nilitegemea Waziri Mkuu angetumia fursa ya kuhairisha bunge, pamoja na mambo mengine kwa kuwaomba radhi watanzania kwa matamshi yake ambayo hayakuwa ya kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.