Riwa
Bw. Liwa nimepata kusikia kuwa kama Mwanamama mjamzito akigundulika ana VVU pendekezo pekee la uzazi wake ni kwa njia ya upasuaji ili kuepusha maambukizi ya VVU kwenda kwa mtoto? unasemaje juu ya hili?
Carissa edulis-murigariga wa miujiza ya Loliondo
Utangulizi
Mchungaji Mstaafu Ambilikile Mwasapile ni jina lililojipatia umaarufu sana katika siku za karibuni nchini Tanzania. Umaarufu wake unatokana na madai kuhusu uwezo wake wa kutibu maradhi sugu mbalimbali kwa kutumia dawa ya kiimani...
Habari Wanajamii!
Pengine hii mada ilishawahi kupewa maelekezo hapa ukumbini ila kwa ugeni wangu mnivumilie kwa swali hili! Jana nilipata wasaa wa kushuhudia watu wanatibiwa kwa kutolewa sumu mwilini hii ikiwa ni pamoja na mafuta, metals, na sumu nyingine zisizostahiri kuwepo ndani ya mwili wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.