Mimi binafsi nilisikia akisema walisema kuwa amekuja chizi wa kuiba kura..ila cha ajabu le0 mwizi analalamika kua ananaibiwa...huku ni kuudanganya umma...tuliende magufuli amalize shughuli
Tna Imani na kiongozi wetu magufuli, mipango hii na mikakati mingine mbali mbali inaonyesha dhahiri ni kiasi gani mgombea huyu amejipanga na anaimani kubwa kua atashinda hivyo anaaanza kuandaa utaratibu wa namna atakavyowatumikia wananchi, Ni ushauri wangu kwa kila kijana kuweza kuitimia haki...
Kitu kimopja cha kushangaza ni kuwa hawa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wakifika mikoani wanafanya mikutano 2 au 3 alafu wakiikumbuka tume ya uchaguzi wanarud Dar kuja kuipigia kelele. Kama mnaacha kutafuta kura kila siku nyie nikuitaka tume ya uchaguzi ilinde kura mnataka ilindekura gani ambazo...
Ukweli unauma, ila tunajua kua ukweli ni mmoja na haugawanyiki na siku zote ukweli ukisemwa huegemea upande mmoja ambao unahitaji kupia. Siasa ni sayansi tena inayohiyaji ukae utulie ili uweze kutoa maamuzi yenye tija..
Ningependa kuongezea kitu kimoja kwenye maelezo yakoambacho ni VOTER'S...
Tanzania nchi yangu, CCM chama changu, Magufuli ndio kura yangi na baada ya kuapishwa atakua ndie Rais wangu. Sababu ya kumchagua ni kwa vile ni mchapakazi, muadilifu, mfuatiliaji, na huyu ni aina ya kiongozi ambaye tunamtaka kwa sasa. Tunahitaji kwenda mchaka mchaka wakati wengine wanatembea
Unapoona mtu anadhubutu kunyanyua mdomo wake huku akimsifu lowasa kua nikamanda na akimtuhumu dr.slaa kua ametumwa na CCM mtu huyo muangalie kwa jicho la tatu. Watu wanahoji vitu vya msingi wewe unakuja na tuhuma zako ambazo hazina hata kamshiko. Lowasa amewalisha nini nyinyi? lowasa shida yake...
Mtikila yupo sahihi kusema kua lowas htoshi kua rais, sababu hata ukimsikiliza sumaye alipotoa sifa za rais wakati anatangaza mia, sifa mojawapo ilikua ni swala la afya. wote tunajua kua ugonjwa ni kitu kibaya na mtu akiwa anaumwa hata uwezo wake wa kufikiri unapungua, hivyo basi, lowasa hawezi...
Updates
Nina ahidi nikichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano wa JMT, ninaahidi kuitetea na kuilinda manani tuliyonayo. Maana pasipo na amani hakuna shughuli zozote za maendeleo
Updates
Nina ahidi nikichaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano wa JMT, ninaahidi kuitetea na kuilinda manani tuliyonayo. Maana pasipo na amani hakuna shughuli zozote za maendeleo
UPDATES:
Magufuli anaomba kura kwa wakai wa kahama, anawaahidi kuwatumikia na hakuaomba urais kwa kubahatisha ila anania ya dhati ya kuleta maendeleo... Nataka kujenga Tanzania yenye umoja
Mabadiliko anayoyazuungumzia Magufulia ni kuanzia ndani ya chama hadi ngai ya nchi, Kma hua unamsikiliza kwa makini, hua anasema kua kuna watu wachache wanasababisha wananchi wanakichukia chamam na kuichukia serakali, sasa hawa ambao huwa ananwaita kunguni ndio wakutafutwa na kuchomwa moto ili...
Haya yule mwana mabadiliko anaendelea kubadilika tunamuona hivi, Watanzania kama tukiamua kuelewa tuaelewa ila tukiamua kuto kuelewa pia hatutaelewa. Kila tu aua maovu yake ila ya huyu mzee yamezidi hayamruhusu yeye kua rais,tukishupaza shingo zetu na kuzani sisi tunamuone sana huruma kwamba...
Nakubaliana na Muandishi kua wakati Edo ni waziri mkuu alikua na uwezo mkubwa na wengi tuliona alipokua akiwakimbiza mchakamchaka wakurugenzi na wafanya kazi wengine, alikua ana afya iliyo imara ndio maan allimudu kutafanya yote yale. Ila ni ukweli kua hata sasa kua afya yake haiko viuri hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.