Nyumba imekamilika BOMA lenye vyumba vitatu kimoja masta, mashimo ya choo tayari nishafunika , fensi tayari imekamilika.
Naiuza mimi mwenyewe mmiliki hakuna dalali , ina square mita 400 , ipo buyuni chanika kama unaelekea sekondari ya buyuni, sio mbali na barabarabi ni kama mita 100 tu, umeme...
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana .
Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile service ndogo ndogo.
Kwa wateja wa dsm unaletewa mpaka kwako na wa mkoa tunapeleka mpaka stendi ya...
Je una Mikanda ya Zamani ya video na unataka kuibadilisha ? Tupo kwa ajili yako tunaweza kuokoa kumbukumbu zako ikiwemo harusi..msiba..graduation na mengineyo karibu ofisi zetu ziko dsm ilala amana tunatizamana na kanisa la anglikana mtaa wa moshi na tukuyu,au tunaweza kuzifata ulipo hapa dsm na...
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
Canon ir 1730
Zinapiga kopy 30 kwa dakika moja
Zinauwezo wa kugeuza zenyewe
Zinaprint mbele na nyuma DUPLEX
Zina scan pia
Zina network system
Rahisi kutumia
Spea zake zinapatikana
Wino wake unapatikana na unaweza kujaza pia
Nzuri sana kwa biashara au matumizi mengine
Zinatunza kumbukumbu ya kila...
well maintain..single user..non smoking , new tyre recent change,Alarm lock system.
Contact for
whatsapp +255715331 233
or
call +255786443 322 dsm
maelewano yapo karibu
PRINTER YA PASSPORT PICTURE ( USED )
SETI NZIMA @ Tshs 500,OOO /=
UNAPATA SETI NZIMA KAMA IFUATAVYO ..
1. PRINTER CANON (USED)
2. KARATASI 36 ZA KUANZIA KAZI (NEW)
3. WINO WA KUANZIA KAZI (NEW)
4. CAMERA DIGITAL 10 MEGAPIXELS (USED)
5. MEMORY CARD 4 GB YA CAMERA (NEW)
6. BATTERY...
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,
tupo kariakoo mtaa wa lindi na swahili gerezani ..
Offer large stock of used copiers brands CANON and most models, analog and...
update:
MZIGO UMEINGIA KWA WALE WALIOKUWA WANAHITAJI SPY PEN ZIMESHAKUJA NA ZIMEKUJA ZA GB 8 BEI IMEZIDI KIDOGO TU NI SHS 55,000 TSHS wahi ujipatie yako sasa
Features & Specification
An amazing quality device framed as a beautiful cased pen, 4 GB Spy Pen Camera is an ideal product for modern...
Tunatoa huduma za kubadilisha kaseti za zamani za VHS na kuwa Cd Au Dvd au kukuwekea katika flash au simu upendavyo..okoa kumbukumbu zako zisipotee kwa kuharibika
1.Harusi
2.Msiba
3.Graduation
4.Birthday
5.Kitchen party
Na kumbukumbu zingine za familia.
Bei zetu zinategemea na mkanda wako...
Avr automatic voltage regulator ni kifaa kinasaidia kuzuia umeme unapokuwa sio mzuri aidha mkubwa au mdogo na kuzuia kifaa chako kisipate madhara..unaweza kuchomeka mpaka vifaa 3
Used kutoka Malaysia
Bei tshs 75.000 na vifaa vya stationery vyote vinapatikana..photocopy. binding. Lamination...
printer za kusafisha passport size picha ( USED )
seti nzima @ laki 500,000
unapata vifuatayo
1: printer
2:adaptor
3: power bank yake
4:toner yake (wino)
5:karatasi zake
6:camera digital 10 pixel
7:mfuko wa kubebea
8:waya za camera na power bank
9:memory card 4gb
Tunapatikana kariakoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.