Katika kipindi cha miaka 5 tumefanya mengi, hata kuhamishia Makao Makuu Dodoma halikuwa jambo dogo. Miaka 47 haijawezekana ila miaka 5 tumeweza. Makao Makuu yanamaanisha ustawi wa eneo hili unakuja kwa nguvu.
Tunajenga Uwanja wa Ndege mkubwa huko Msalato ili ndege za kimataifa zije. Tumeleta...
Waziri mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwa Monduli kwenye kikao cha chama cha mapinduzi ambapo mwanae Fred Lowassa anawania jimbo hilo, alipata fursa ya kuongea na kumuelezea Dkt. Magufuli aliyoyafanya katika vita dhidi ya Korona. Pia kwenye kikao hicho alikuwepo Mizengo Pinda.
Lowassa: Mimi...
Umati wa watu uliofurika kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni ya CCM mkoani Tabora leo tarehe 21 Septemba 2020
Baada ya kuwasili na kukaribishwa, awasifia wana Tabora kwa ushiriki wao katika kutafuta uhuru. Amesifia Tabora ya leo kwa kuwa na nyumba nzuri nzuri...
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Nsimbo (hawaonekani pichani) wakati akielekea Uvinza mkoani Kigoma katika mikutano ya Kampeni za CCM leo tarehe 20 Septemba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt, John Magufuli ameweka bayana sababu za aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu, Juma Kapuya kukatwa na Kamati Kuu ya CCM ingawa aliongoza kwenye kura za maoni za ndani ya chama na badala yake akapewa nafasi ndugu Aloyce Kwezi.
"Kwenye mchakato...
Ilani ya chama pamoja na uwezo wa watendaji wake ndiyo hatima ya maisha yako kwenye kila nyanja ya maisha yako.
Je, wewe kijana huna ajira? ilani ya chama ndiyo itakayokuonesha ni kwa jinsi gani ajira kwa vijana zitakavyotolewa
Je, mkulima huna soko zuri la mazao yako? ilani ya chama ndiyo...
KIJUA NDIYO HICHI, USIPOUANIKA UTAUTWANGA MBICHI Msemo huu ni maarufu sana na unahimiza watu kufanya jambo kwa wakati ili wasije juta. Kama ilivyo kwenye zao la mpunga yapasa kuuanika kabla ya kuutwanga, lakini jua likikupita hakika utautwanga mpunga wako ukiwa mbichi. Tume ya taifa ya...
KWA UTENDAJI HUU TUTAKUPELEKA IKULU Baada ya kujizolea umaarufu mwingi kutokana na utendaji kazi wake kwenye kila wizara alizohudumia ikiwemo wizara ya ujenzi, Mh. Magufuli ameapa kuunda baraza dogo la mawaziri litakalofanya kazi usiku na mchana. Kauli hii ambayo pia ilithibitishwa na gazeti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.