Katika kipindi cha miaka 5 tumefanya mengi, hata kuhamishia Makao Makuu Dodoma halikuwa jambo dogo. Miaka 47 haijawezekana ila miaka 5 tumeweza. Makao Makuu yanamaanisha ustawi wa eneo hili unakuja kwa nguvu.
Tunajenga Uwanja wa Ndege mkubwa huko Msalato ili ndege za kimataifa zije. Tumeleta...
Waziri mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwa Monduli kwenye kikao cha chama cha mapinduzi ambapo mwanae Fred Lowassa anawania jimbo hilo, alipata fursa ya kuongea na kumuelezea Dkt. Magufuli aliyoyafanya katika vita dhidi ya Korona. Pia kwenye kikao hicho alikuwepo Mizengo Pinda.
Lowassa: Mimi...
Umati wa watu uliofurika kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni ya CCM mkoani Tabora leo tarehe 21 Septemba 2020
Baada ya kuwasili na kukaribishwa, awasifia wana Tabora kwa ushiriki wao katika kutafuta uhuru. Amesifia Tabora ya leo kwa kuwa na nyumba nzuri nzuri...
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Nsimbo (hawaonekani pichani) wakati akielekea Uvinza mkoani Kigoma katika mikutano ya Kampeni za CCM leo tarehe 20 Septemba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt, John Magufuli ameweka bayana sababu za aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu, Juma Kapuya kukatwa na Kamati Kuu ya CCM ingawa aliongoza kwenye kura za maoni za ndani ya chama na badala yake akapewa nafasi ndugu Aloyce Kwezi.
"Kwenye mchakato...
Hili swala watanzania tushalishtukia... lissu anatumika sana na mabeberu ... mtanzania anaeelewa vizuri hili swala ataelewa tu ... hatuwezi kumpa mtu nchi kwa ajili ya any sympathy.... tunaweka masilahi ya nchi mbele kwanza ...
“Kumekuwa na ongezeko la mapato kwa Wachimbaji wakubwa. Mwaka 2016 waliuza dhahabu kilo 17,587.15 yenye thamani ya Dola za Marekani Mil 607.3 sawa na shilingi tilioni 1.4, Serikali ilipata Mrabaha wa thamani ya Dola za Kimarekani Mil 23.4 sawa na shilingi bilioni 53.81. Hadi mwezi Mei, Mwaka...
ila twende mbele turudi nyuma; ile video mmh sijui hata nisemaje' yule mchungaji kawezaje kupata ujasiri wa namna ile? je mpaka pale first lady kama yule anafa?? "......................" tutafakar #hapakazitu
ila twende mbele turudi nyuma; ile video mmh sijui hata nisemaje' yule mchungaji kawezaje kupata ujasiri wa namna ile? je mpaka pale first lady kama yule anafa?? "......................" tutafakar #hapakazitu
kushinda kwao itabaki kua ndoto isiotimia, milele, wanahitaji kujipanga upya, ccm inamiziz yake ya muda mrefu ya kudumu, wametengeneza chama chao mwisho wa siku wamekibomoa wenyewe bila kujua nini wanafanya.......nilikua nafikiria baadae chadema watakuja kuwa chama pinzani chenye ngufu, lakini...
unajua wakiwa ni wapumbavu saana, yani mkapa hakukosea kuwaita ivyo! hivi mnawezaje mfananisha magufuli, na huyo mamvi, hivi wakati anazunguka tandale alifanya sawa?? au mmeona hili tu la kupiga push up???
mbowe kauza chama alafu kaingia mitini ahahhahahaha, alafu mr. zero anaulizwa yukwapi eti kwenye shughuli shughuli, maskini wakiwa wameuzwa kama magunia ya mkaa
tukiacha ushabiki maandazi pembeni na nikianza kuangalia maslahi ni bora nimpe kura yangu, kwa sababu flani kwanza hana makundi hivyo hata kuwa na mzigo, wa kulipa fadhila, pili kupitia uwaziri wake nimeona juhudi zake japokuwa kila binaadamu anamapungufu yake wenda akawa kweli kuna sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.