Nimejiuliza bado sijapata jibu...kama ikaa kamati kuu na kuweka mipango ya miaka mitano na kuandaa ilani inakuwaje anatokea kiongozi na kuipinga na wana ccm wenyewe kumshangilia...
Lilianza swala la mabinti wanaopata mimba kutoruhusiwa kuendelea na masomo wana ccm wakashangilia na kumpongeza...
Wawekezaji wanauza kwa wingi hisa zao kutoka Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kutokana na mabadiliko ya bei ambayo hayatabiriki, na hivyo kuhatarisha uwekezaji wao. Wawekezaji kutoka Benki ya CRDB, Vodacom, Benki ya NMB na TICL ndio wanaongoza kwa kuuza hisa zao.
Changamoto kubwa inayozikabili nchi za dunia ya tatu ni pamoja na vifo vya akina mama wakati wa kujifungua kutokana na ukosefu wa huduma za afya nchini. Hali inayopelekea akina mama wengi kupoteza uhai wao wakati wa kujifungua...imekuwa ni nadra sana kuwa na uhakika wa mama kuwa salama wakati wa...
Juzi alipokuwa akifanya mahojiano na Zuhura Yunis mtangazaji wa bbc swahili...pamoja na maswali mengine aliuzwa yeye kama BOB WINE anataka kuwa rais wa UGANDA. alijibu akasema hapana mimi nataka haki kwa waganda wala si kuwa rais...mtangazaji akamuuliza tena "mseveni ana wafuasi wengi ambao...
Nasikiliza taarifa ya habari bbc. Aliyekuwa Naibu Jaji Mkuu wa Kenya leo amekamatwa kwa tuhuma za kifisadi na rushwa...hii haikuwa habari kubwa ila lililonigusa ni haki aliyopewa mtuhumiwa...baada ya kukamatwa alienda kuhojiwa na baadae kufikishwa mahakamani ula muda wa mahakama ulikuwa umeisha...
"Mwigulu alikuwa na nafasi ya kuwa shujaa, mara nyingi tu. Mara zote ambazo mauaji yalifanyika, watu walipotea na mamlaka ya uteuzi ikamfunga mikono, alipaswa kujiuzulu kwa sababu kama umepewa kazi na unakwazwa katika kuifanya basi hiyo kazi haina maana. Timing."
Wana Jukwaa.
Siku ya Jumapili majuzi nilikuwa nasafiri kutoka Dar kwenda Mwanza!
Mwanza naijua vizuri kwa sababu nimeishi zaidi ya miaka kumi kabla sijaamia Dar!
Cha kushangaza wakati nasafiri huku nimjulisha mwenyeji wangu ambaye angenipokea baada ya kufika usiku sana.
Nilipofika singida...
Kwa uelewa wangu wa historia ya utawala wa kikoloni jeshi la polisi lilitumika kuwakandamiza wanyonge ikiwa ni pamoja na kukamata kuwatesa na kuwadhibiti waafrica walioonekana kuwa tofauti na utawala wao.!!
Nimejaribu kufatilia kwa wazungu waliotutawala jinsi wanavyotumia jeshi la...
GOMA, Democratic Republic of Congo (Reuters) - Congolese soldiers were killed and wounded in a cross-border skirmish with Rwandan troops this week, Democratic Republic of Congo’s military said on Thursday.
Each side accused the other of violating the poorly-demarcated border, the scene of...
Pole sana tido.. Unapitia kipindi kigumu kwa wakati huu kwa kesi inayokukabili...usife moyo bado watanzania wengi tunakubali mchango wako hasa kwenye tasinia ya habari.
Ndugu Tiddo pamoja na majukumu yako nakuomba umtafute dr. Slaa kwenye mahojiano.. Japo leo sijafatilia sana kwenye kipindi cha...
Nawakumbusha wana CCM na watanzania kwa ujumla...kasi mliyonayo ya kuwapokea wapinzani msisasahau maendeleo ya nchi na watu wake.
Kama taifa litaendelea kuwa masikini kama ilivyo sasa sasa. Kipato cha mtu mmoja mmoja kikiendelea kushuka kama ilivyo sasa huduma za kijamii hasa maji, elimu na...
Leo nimeona kwenye taarifa ya habari azam tv. Uongozi wa hospital ya mloganzila ukisema kwa sasa huduma zinaendelea kama kawaida na wanaendelea kuwatibu vizuri wagonjwa waliohamishwa wakitokea muhimbili..kama kuna mwandishi wa habari humu naomba akafanye utafiti kidogo tu katika hospital...
#NENO_LA_SHUKRANI.
Na Kumbusho Dawson
Siku ya tarehe 03/12/2017 katika ukurasa wangu wa Facebook nilichapisha chapisho lililoambatana na picha zinazoonesha nyufa katika moja kati ya majengo ya Hostel Mpya, zilizopo Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Dk.J.P. Magufuli Hostel. Siku iliyofuata, Tar...
Anaandika Askofu Benson Bagonza
Jizoeze kuvuta pumzi na kufikiri. Hii itakusaidia kujisikiliza kabla hujategemea kusikilizwa na unaowahutubia. Uwezo wa kujisikiliza hukuwezesha kutambua kweli hizi:
1. Haki na madaraka ya kumpiga mtu haimwondelei mtu huyo haki ya kulia. Kwa hiyo kumchapa mtu...
Mbunge wa Nzega Mjini, Mhe. Hussein Bashe baada ya kukamatwa na kuhojiwa kwa Askofu Niwemugizi katumia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter na kusema maoni yake juu ya swala hilo!
Hussein Bashe ameandika kuwa;
"I know how it feels unapo ambiwa AMA kuanza kujazishwa Fomu na kuhojiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.