Ustaarabu hupatikana katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi ya huduma za jamii. Nimeona nitoe hii kero kwa sababu utakuta mtu hakupata siti inabidi asimame na kama hawezi basi asubiri basi lingine. Badala yake watu wanalazimisha kukaa sehemu za kusimama wengine hukaa kwenye...
Ustaarabu hupatikana katika nyanja mbalimbali ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi ya huduma za jamii.
Nimeona nitoe hii kero kwa sababu utakuta mtu hakupata siti inabidi asimame na kama hawezi basi asubiri basi lingine.
Badala yake watu wanalazimisha kukaa sehemu za kusimama wengine hukaa...
Habari wanaJF, Kama kuna yeyote anafahamu sheria kuhusu ushuru wa matangazo ya biashara, nafaham mabango ya matangazo hulipiwa ushuru ila sifaham namna gani wana come up na rates tofauti kwa kila bango,ukiacha categories kama lina taa au la, pamoja na size ni baadhi ya vigezo. Suala lingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.