Nihabari za kushtusha kwa wapenzi wa muziki hususani R n' B kwa kumpoteza kipenz chao jana majira ya sa5 usiku kwa ajali yandege akitokea finland akienda australia katika moja yakazi zake...
Habari fellows! binafsi napenda kujua na ninashauku kubwa kwanini budget ya nchi yetu uandaliwa na non-economists nkimaandisha mawaziri ambao wengi wao hawajasoma uchumi indeep nakusabisha "deficit budget" kutokea bajeti ambayo matumizi ni makubwa kuliko bajet kitu ambacho kinasababsha nchi...
Kama tujuavyo hili ndo jamvi letu wanasport.napenda kujua zaidi kutoka kwenu ivi nani anastail kuitwa the special 1 kati ya hawa 1:ferguson 2:mourinho 3:gurdiola au 4:wenger na kwa vigezo vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.