Search results

  1. P

    Swali ya Wanaume wenye ndoa swala la Mahari mnalionaje?linepitwa na wakati au ?

    Kati ya vitu vinavyochekesha kwa watetezi wa mahari ni hizo ngonjera eti binti ametunzwa, amesomeshwa na bla bla kibao! Hivi mnataka kusema kuwa wazazi wa mvulana hawajamtunza wala kumsomesha?! Na kwa wanaokimbilia kwenye Bible, kiasi cha mahari ya kwenye Bible kilitajwa kabisa wala siyo huu...
  2. P

    Swali ya Wanaume wenye ndoa swala la Mahari mnalionaje?linepitwa na wakati au ?

    Kati ya vitu vinavyochekesha kwa watetezi wa mahari ni hizo ngonjera eti binti ametunzwa, amesomeshwa na bla bla kibao! Hivi mnataka kusema kuwa wazazi wa mvulana hawajamtunza wala kumsomesha?! Na kwa wanaokimbilia kwenye Bible, kiasi cha mahari ya kwenye Bible kilitajwa kabisa wala siyo huu...
  3. P

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hongereni wakuu, naona hali iko kimyaaaa! shetani yuko chali...
  4. P

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mkuu Full Moon, usikonde mara nyingine game hukataa kabisa.
  5. P

    DOUBLE STANDARDS ZA CHADEMA, Lwakatare angekuwa kiongozi wa CCM wangeandamana kushinikiza ajiuzuru

    Hivi mtu aliye ndani anazuiaje uchunguzi kufanyika??? Binafsi simuamini Lwakatare, lkn hiki ulichoweka hapa hakileti maana... Hivi Lowassa amewahi kusema alijiuzuli ili iweje vile?? Baada ya kujiuzuli mliwaadhibu wahusika au mlifunikafunika mambo yakaisha?
  6. P

    MEMBE: Tuna ushaidi unaolingana na mlima Kilimanjaro kuhusu umiliki wa ziwa Nyasa dhidi ya Malawi

    Kwa hiyo kama walivyotuuza kwa kesi bandia ya Dowans wanapanga tena kutuuza na ktk hii?! Hiyo mahakama ikihukumu tofauti na matarajio yetu tutakuwa na option nyingine au yatarudi yale ya Dowans? Hapa njia ni moja... Wasuluhishi/wapatanishi wakishindwa tumalize haya mambo kiporipori, mambo ya...
  7. P

    hajawahi kujamiiana, na bado ananibania mpaka sasa

    Hivi huyo Mungu ambaye wenzetu 'mnamwamini' sana ni yupi huyo?? Yaani unamwamini sana Mungu na hujui kama uzinzi ni kosa??? Huna kiongozi wako wa dini unaweza kumuuliza hayo maswali yako ya kitoto?! Kuna wengine humu wanafanya uzinzi weeee wakibwagana unaona wataalam humu wanawashauri wamuombe...
  8. P

    LADIES, Before you date a MARRIED MAN you should know this: (Must read and share)

    Tatizo la kukopy vitu kiupofu upofu! Hizo dondoo zote ulizoweka hapo labda zina apply ktk jamii za upande mwingine wa dunia... na hata sijui ni upande gani huo, ila kwa jamii yetu hii ya vurugumechi... Hivi kweli unamwambia binti kuwa huyo mwanamume wa mtu hatamuacha mkewe wakati kaka, wajomba...
  9. P

    UEFA Champions League, Special Thread

    Kweli nyie binadamu mna chuki binafsi na Barça! Yaani hakuna hata mmoja kati yenu anayegusia kuwa Ibra alifunga akiwa offside ya wazi kabisa!!!
  10. P

    NCCR- Mageuzi, PPT- Maendeleo: Uwanja wa ndege Mbeya usiitwe JK International Airport

    Dhuluma ni mbaya sana.. Walishindwa kuupa uwanja wa michezo wa Dar jina la B. Mkapa, kwa wivu uliowajaa ikabidi wausilimishe uwanja wa Taifa kwa jina tofauti ili tu kupindisha mambo, sasa tena mradi ambao ulianzishwa wakati wa mzee wa utandawazi unapewaje jina la kikwete?! Hivi watu wa ccm...
  11. P

    King'amuzi cha Digitek

    TCRA, mnaona kuwa ni sawa kwa hawa wahusika kuwauzia watazamaji hata Channels za mambo ya dini?!
  12. P

    Hivi kwa nini viumbe wengi wasio wanadam hawatupendi ngozi nyeusi?

    Hivi kweli unategemea nyani na tumbili wawe na uhusiano mzuri kbs na 'mjomba wa bibi' yako kule kijijini?! Au yule shangazi yako anayekaanga samaki na vitumbua huko Tandale awachekee kunguru wa Zanzibar?!
  13. P

    Madhara ya kurukwa ukuta kwa wanawake (kuingiliwa kinyume na maumbile)

    Hasara nyingine, mwanamke anayeliwa tigo yuko kwenye hatari kubwa ya kunyang'anywa mume na mashoga wa kiume! Sababu kama mwanamume wake anaona sawa kumla tigo atashindwa vipi kula na tigo za kiume?!
  14. P

    Liverpool FC Vs Tottenham Hotspur:: Ni saa mbili kamili usiku na tusikose:

    Vipi mzee wa performance Madrid na Chelsea hawajambo?!
  15. P

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Haahaaa! Mkuu, kumbe na wewe ulikuwa tumbo moto? Kwa kweli hata mimi nilikuwa najiuliza tutamdhibiti vipi huyo jamaa...
  16. P

    Liverpool FC Vs Tottenham Hotspur:: Ni saa mbili kamili usiku na tusikose:

    Hongereni sana The Reds wenzangu wote... Mdogomdogo tutafika..YNWA.
  17. P

    Kikwete unatukera na Kampuni ya STRABAG, inatutia Umasikini... Magufuli kimyaaa!

    Kuna uzi mmoja humu nilisema hao jamaa hawatamaliza kujenga hiyo road na ile ya Tegeta hadi uchaguzi ukaribie! Mwanzoni jamaa walikuwa wanajenga hadi usiku wa manane, lkn inaonyesha walipigwa stop tangu September au October hivi.
  18. P

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Umeona eeh? Dogo ni mzuri kweli. Sturridge akiwa mzima na tuimarishe beki yetu kidogo timu itakuwa balaa.
  19. P

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mkuu 'mwezi kamili' yaani ulikuwepo hapa peke yako!! Hongera sana mkuu, vijana wetu wanaimarika taratibu, maana hapo dw siyo sehemu rahisi kucheza..
Back
Top Bottom