Kati ya vitu vinavyochekesha kwa watetezi wa mahari ni hizo ngonjera eti binti ametunzwa, amesomeshwa na bla bla kibao! Hivi mnataka kusema kuwa wazazi wa mvulana hawajamtunza wala kumsomesha?! Na kwa wanaokimbilia kwenye Bible, kiasi cha mahari ya kwenye Bible kilitajwa kabisa wala siyo huu...
Kati ya vitu vinavyochekesha kwa watetezi wa mahari ni hizo ngonjera eti binti ametunzwa, amesomeshwa na bla bla kibao! Hivi mnataka kusema kuwa wazazi wa mvulana hawajamtunza wala kumsomesha?! Na kwa wanaokimbilia kwenye Bible, kiasi cha mahari ya kwenye Bible kilitajwa kabisa wala siyo huu...
Hivi mtu aliye ndani anazuiaje uchunguzi kufanyika??? Binafsi simuamini Lwakatare, lkn hiki ulichoweka hapa hakileti maana... Hivi Lowassa amewahi kusema alijiuzuli ili iweje vile?? Baada ya kujiuzuli mliwaadhibu wahusika au mlifunikafunika mambo yakaisha?
Kwa hiyo kama walivyotuuza kwa kesi bandia ya Dowans wanapanga tena kutuuza na ktk hii?! Hiyo mahakama ikihukumu tofauti na matarajio yetu tutakuwa na option nyingine au yatarudi yale ya Dowans? Hapa njia ni moja... Wasuluhishi/wapatanishi wakishindwa tumalize haya mambo kiporipori, mambo ya...
Hivi huyo Mungu ambaye wenzetu 'mnamwamini' sana ni yupi huyo?? Yaani unamwamini sana Mungu na hujui kama uzinzi ni kosa??? Huna kiongozi wako wa dini unaweza kumuuliza hayo maswali yako ya kitoto?! Kuna wengine humu wanafanya uzinzi weeee wakibwagana unaona wataalam humu wanawashauri wamuombe...
Tatizo la kukopy vitu kiupofu upofu! Hizo dondoo zote ulizoweka hapo labda zina apply ktk jamii za upande mwingine wa dunia... na hata sijui ni upande gani huo, ila kwa jamii yetu hii ya vurugumechi... Hivi kweli unamwambia binti kuwa huyo mwanamume wa mtu hatamuacha mkewe wakati kaka, wajomba...
Dhuluma ni mbaya sana.. Walishindwa kuupa uwanja wa michezo wa Dar jina la B. Mkapa, kwa wivu uliowajaa ikabidi wausilimishe uwanja wa Taifa kwa jina tofauti ili tu kupindisha mambo, sasa tena mradi ambao ulianzishwa wakati wa mzee wa utandawazi unapewaje jina la kikwete?! Hivi watu wa ccm...
Hivi kweli unategemea nyani na tumbili wawe na uhusiano mzuri kbs na 'mjomba wa bibi' yako kule kijijini?! Au yule shangazi yako anayekaanga samaki na vitumbua huko Tandale awachekee kunguru wa Zanzibar?!
Hasara nyingine, mwanamke anayeliwa tigo yuko kwenye hatari kubwa ya kunyang'anywa mume na mashoga wa kiume! Sababu kama mwanamume wake anaona sawa kumla tigo atashindwa vipi kula na tigo za kiume?!
Kuna uzi mmoja humu nilisema hao jamaa hawatamaliza kujenga hiyo road na ile ya Tegeta hadi uchaguzi ukaribie! Mwanzoni jamaa walikuwa wanajenga hadi usiku wa manane, lkn inaonyesha walipigwa stop tangu September au October hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.