Sasa mbona yale yale tuu ya kukataa mkopo wa China na kutaka kukopa kwenye jumuiya ambayo na Mchina yumo unadhani atafanya kitu gani hapo!!!
-Tufikilie nje ya box.
Duh zero kabisa baadhi ya watu. Sasa hapo chadema wanaingiaje badala ya kutoa pole yako na kupepea tuu. Utakuta na wewe ni kiongozi wa serikali. Kweli tuba safari ndefu sana.....
Siasa zitawaponza...... Siyo kila jambo lazima uhusishe na uchadema na uccm. Pooor tz!
Ivi DCs/RCs ni viongozi wa kisiasa?
Labda uelewa wangu mdogo, uongozi wa kisiasa si lazima watu wagombee? Sasa hao wanaopatikana kwa appointment order nao wanaitwa wa kisiasa ilihali nchi yetu ni ya kidemokrasia?
Hapa naomba ufafanuzi kidogo jamani akili imegota
Jisifu na hicho chuo eti viongozi wametoka hapo umesahau kujumuisha kwamba hao hao ndo wanatufikisha mahali hapa kama taifa. Chuo gani hicho ambacho hakiwezi kutengeneza wasomi waadilifu kwa taifa lao.
Zunguka maofisini uone wafanyakazi wengi waadilifu wametoka vyuo mnavyovidharau.
Chuki...
Tatizo la sisi watu tusiopenda kusikiliza wengine wabasemaje ndo hili.... Mtu unakaa kijiweni tuu. Mbona shauri liko wazi kabisa, rudia kusikiliza uamzi uliowatia hatiani then relate na matukio ya video za nechi zote zilizo mtia hatiani.
Watanzania na matukio....
Kwa sasa kila kila kitu mbona hakuna mwanamke!!!
Waacheni akina mama walee watoto nyumbani leo ni holiday akina baba wakapambane[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Kwa nini CCM mnang'ang'ania sana wanawake na wazanzibar?
Kama kwenye chama chao hawaoni mtu makini mwenye jinsia ya ke na hawajavunja kanuni kuna shida hapo?
Waachani wanawake walee watoto wanaume wa shoka wakapambane.
Siasa za kitoto toto tuu mnatuletea.
Shame on you CCM
Utaratibu ushabadilikaga mkuu kwa sasa una disco kwa mwaka yaani wakichukua GPA ya semester ya kwa kwanza na ya pili wanajumlisha na kugawa kwa 2 ndo GPA Yako. Sasa kama haijafika ndo unadisco. Ila kwa sasa hata kama una F zote unasoma tuu.
Hii issue nadhani ni ya kuomba tuu. Kumbuka kuna kitu kinaitwa DEAD LINE mkuu. Na baada ya hiyo dead line kuna maelekezo ambayo huwa yanatolewa kwa kusaidia hao watu. Lakini lazima tuangalie kwa upande wa pili kwa nini iwe leo au awamu hii tuu ndo mlolongo wa haya mambo kutokea!
Binafsi kwenye...
Ni uzi unaofungua akili aisee ila kwa mtu mwenye akili sana kama ni kiazi au na yeye amekumbwa kwenye takwimu ya 78% baada mwaka 1980 hawezi kuelewa ataishia kuquote na kutukana au kukebehi tu.
Mimi nimeguswa na hii takwimu ya elimu yaani kutoka kujua kusoma watu 80% bila misaada miaka zaidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.