Kuwepo na msikit au kanisa haimaanish ni alama ya kuhamasisha udini..nimesoma Udsm..kuna msikit mkubwa tu MSAUD pia na kanisa lipo...uwepo wa Maeneo ya kuabudu kunastawisha amani na kutuliza mihemko na akili..
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu...nimeona nitupie hii issue yangu humu jukwaani kwani naamini JF kuna kusanyiko la wajuvi wa mambo mengi hivyo naamini nitapata suluhisho.
Nimekuwa kwenye hii biashara ya kuprocess marudio ya mchanga wa dhahabu mda kidogo sasa..katika biashara hii nimekumbana na changamoto kadhaa...
Moja ya post za maana kabisa kuwahi kusoma jf...da faiza Allah akuzidishie na ilmu uliyonayo uitumie kwa njia hii..hakika nimejifunza mengi sana kupitia majibu yako ya maswali mbalimbali uliyoulizwa.
Nakumbuka nmefka first year udsm mwaka 2006..wiki ya orientation ile ule mchakamchaka sitausahau...kuna mshkaji wangu mmoja alikuwa anashinda pale tbs pembeni ya library kuu anaangalia mademu kutwa nzima..
Mi ni mwanaume..ni curiosity tu kujua kama sababu ya kumpenda ni dudu na uwezo kama anao ilikuaje ukamuacha...sorry kama upo offended naona km umepanic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.