Yaani yule yulealiyetupimia samaki kwa rula na kutaifisha mabasi yetu kisa abiria ana samaki wawili wa mboga?
Hafai kabisa.
Kama kuna shida anatakiwa kusema sasa hivi na kuirekebisha sio kusubiri kusema ili ajinufaishe kisiasa.
Mtu wa namna hiyo hatufai
Uozo wa Ghalib hausiani na wewe kupora kiwanja.
Kama ulikua unaujua uozo waks ulipaswa kisheria ukaseme kwa vyombo vya dola.
Wewe Makonda kukaa kimya ni makosa kisheria.
Kaogeleew kwenye huo uozo ufurahi.
Rudisha kiwanja cha watu nadala ya kutoa vitisho
Usiniite Bwege elimu yangu ya sjeria huijui.
Kama Mahabusu hatakiwi kukaa zaidi ya wiki 2 sasa kuahirisha kesi kwa wili 2 wamekosea wapi Kisheria?
Acha ufala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.