Ni kweli asali ya Pale (TFS) ni ya kiwango cha juu na huwa inapelekwa kufanyiwa testing maabara ya Germany. Jamaa wako vizuri ndo maana huwa asali yao haikai.
Me nikiikosa huwa nanunua kwa hawa jamaa wa AGT Natural Honey, asali yao wananunua hukohuko TFS na wanaifanyia branding ya kutosha, mara...
Zimeundwa kamati, nasikia 3, za kupambana na gonjwa hili hata hazijulikani.
Nina wasiwasi kama kuna wajumbe kutoka sekta binafsi. Kimsingi hili suala kama tunavyoona watu na makampuni yanavyojitolea kuchangia mapambano haya, ningetamani kuona serikali ikiratibu mapambano ila kamati ziundwe na...
Tatizo la nchi yetu, na wewe unalo, nchi haina mipango, mipango yote ni ya raisi. Ni makosa makubwa.
Raisi anapaswa kusimamia mipango ya nchi ambapo miaka 4 yatosha kabisa kupima uwezo wake na kama hatoshi anaondoka, akitosha anapewa mingine ikiisha anachukua mtu mwingine.
Ziwa Ngosi;
Ziwa hili ni la pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya ziwa lingine la kreta lililopo Ethiopia linaakisi muonekano wa bara la Afrika katika upande wa kusini, magharibi, kaskazini na mashariki pamoja na visiwa vyake vya Unguja na Pemba.
Ziwa Ngosi linapatikana kwenye milima ya...
Tunanunua magari chakavu sababu pesa nyingi inaenda kwenye ushuru, ingekuwa ushuru uko chini;
1. Yangenunuliwa magari mapya/bora zaidi
2. Uchafuzi wa mazingira ungepungua
3. Screpa mtaani zingepungua
4. Ajali barabarani zingepungua
5. Uhakika wa safari ungekuwa mkubwa
6. Wigo wa mapato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.