Habari zenu wandugu.
Tanga mjini mkaa haupatikani, watu wanahangaika na majumu kila kona.
Makamu wa Rais alisema mkaa uzuiliwe bila kutuambia ipi itakuwa nishati mbadala.
Je, huko kwenu hali ya mkaa wa kupikia ikoje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.