Mbona watu maarufu wengi tu,wapo;
Said Meck Sadick,Mwigulu lameck,Aggrey Mwanri,Nape NNauye,Joshua Nassari,Sofia Simba...wote hawa ni wananchi na wana haki ya kupata viwanja kama wananchi wengine.
Manispaa ya Kinondoni imetoa majina ya waliofanikiwa kupata viwanja katika eneo la Mabwepande.
Hongereni wote mli bahatika.
Kinondoni Municipal Council
Mimi navyojua hizo Scholarships zipo kumi(10) na zinatolewa na British Gas International wakishilikiana na British Council na vyuo vipo vitatu;RGU,Aberdeen na Imperial College London.
sasa hizi habari za nafasi 20 na tena kwa RGU pekee yake zitakua ni mpya.
Nafasi hizi zipo wazi kwa watanzania...
Heshima mbele wana JF.
Natafuta chumba self na sebule pia Jiko.
Maeneo:Mwenge,Kijitonyama,Makumbusho na hata Mikocheni.
Offer:Minimum Tshs.200,000/=
Kama ipo ni-PM,nitakupigia .
Asante.
Heshima Mbele Great Thinkers!!!
naomba kujua kama;
1.IST
2.HABARI NODE
3.POSTAL BANK
4.FHI360
5.TANESCO SACCOS
WAMESHAITA watu hata kwenye interview.
asante.
Sotta/WVT-Recruitment
is there any chance to Volunteer in the field of ICT?if yes please let me know...Got some one need to get experience.
Thank you in advance.
Hakuna visasi hapo.muacheni nape afanye kazi yake.
Huyo kijana ni mjasiri sana.kama unataka kujua nape ni mjasiri kwa kiasi gani ..leo hii nenda kamuulize jk,ni maneno gani nape alimwambia kipindi kile jk anaomba fursa ya kuiwakilisha ccm kwenye urais(kura za maoni ccm 2005).
Hivi tukizungumzia kwa Bongo Mtu mwenye CCNP na mwenye CISA/CISM ....nani anayepata Mshiko zaidi?
Pia kati ya Cicso(CCNA/CCNP) na CISA ipi ina market kubwa sana Bongo?
Habari wakuu!!!
Nauza 1Tb aina ya seagate(Go Flex) kwa bei ya Tshs 225,000/=
zinatumika kwenye Operating system aina yoyote.
Kwa anaehitaji naomba ani-PM kwa mawasiliano ziadi.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.