swali la mwabdishi wa jambo leo lilipangwa na ikulu hata dr.kikwete alivyolijibu. unaona kabisa alijua hata kabla na kumeza nondo zile kusema kweli wewe peter hovyo kabisa
unajua watanzania kwa kupiga dill aliyepewa tenda ameomba zilizobaki SA akaongezea blue basi akawa amenaliza kazi rais wetu wanakuibia hata ww lakini sishangai kwa wat
kwa waliomuona chagonja leo alivyonywea naona amegundua alidanganywa.CHAGONJA KWA HALI YA SASA. tegemea kupata ushahidi wa kutosha. nakupa moja kuna jamaa alikuwa juu. ya mti akipiga picha aluona na kurekodi kila kitu na huyo polisi wako wewe mzee kwa cdm unekwama hiki si cuf na. nccr...
Wamiliki wa mabasi wanapanga kumsingizia RC Arusha kuwa amevunja sheria za Sumatra kwa kuziruhusu Noah kusafirisha abiria.Njama hizo zinapangwa na Enea Mrutu mmiliki wa mabasi ya Kirumo na mmoja anaitwa Oscar ambaye amepewa jukumu la kutoa tamko la chama cha wasafirishaji.
Huku wakimtuhumu...
linahusija sana maana wai ndo wanaubsa serikali hujasikia wakisema serikali ya ccm ni sikivu ndo maana wachoma ili wasikie viva mtwara nawaaminia kwa pasive resistance
VIKWAZO Acha ukomba wa kujikomba kwa CCM mbona hupinga mafuta anayopewa naye kama mbunge hali anatumia magari ya waziri mkuu. hujasikia lowassa ni waziri mkuu mstafu hivyo analipwa marupurupu ya uwaziri mkuu hali ni mbunge analipwa tena hayo mafuta,
kuhusu kulipwa gharama za kesi unachekesha...
joyce hata wewe akili yako finyu na elimu yako nadhani ni kuliko unavyomtathimini dr. kitila ebu tizama sarufi yako inadhihirisha ulofa wako
pili kwani mgeni akija kwako usimuulize jambo la kweli alilolitenda? nyinyi ndo mmeifikisha nchi hii hapa tulipo kutomwambia rais kuwa nchi imeyumba...
katika pita pita yangu nikutana na kesi moja inayomkabili mwl mmoja
maelezo ya awali.
1.shuleni kwao hawajalipwa mishara miezi mitatu sasa
2.yeye ni mwl tu si mhasibu wa shule
sasa - mwl wa watu akachukua ada za wanafunzi akatumia
- akatumwa kwenda kulipia ada za mitihani k4 akatia...
vick kamata aliimba kuwa mkulu ni mfalme suleman si unajua wafalme wanavyopenda wanawake wazuri. mali, kila kitu chao sasa vick anatoka na mkulu si unajua matokeo ya kutoka usiku si watoto na hivyo ni mzazi mwenza
ke
Sio kwasababu ya chuki au majungu, sio kwasababu ya husda au kutaka nafasi yake, bali kwa HESHIMA NA TAADHIMA namuomba Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini, Mheshimiwa sana Philipo Mulugo, afanye uamuzi wa busara wa KUJIUZULU wadhifa alio nao haraka iwezekanavyo. Na kama laa, basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.