Hello ndugu.
Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara.
Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo.
Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi.
Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
Nikikwambia kuwa unaweza kumiliki mashine yenye uwezo wa kukuletea wateja kwenye biashara yako utaniamini?
Wateja wenye pesa mkononi tayari kununua bidhaa/huduma unazotoa?
Wengi nikiwaambia hili jambo nyuso zao zinakunjika kwa mshangao na kuona kama jambo lisilowezekana kabisa.
Wakati...
Hello ndugu.
Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara.
Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo.
Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi.
Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
Asante. Nashukuru kwa kuwa consistent. Ila itakuwa vizuri uka screen shot mahojiano yote ya wanafunzi wangu.
Kuhusu ku upsell yes off course nina upsell. Tangu lini ku upsell imekuwa utapeli? Ulitaka nifanyaje sasa?
Tunaishi dunia ya ajabu kama kutoa kozi 4 bure imekuwa utapeli.
Kwa vile unapenda kunifanyia marketing naomba uende na channel yetu ya YouTube ushare screenshot mahojiano ya wanafunzi wetu.
https://www.youtube.com/playlist?list=PLLOg8s26qj-YMos8or0O428soi_z0Poa8
Nakubaliana na wewe kwa 100% ikiwa Unazungumzia business entity ya matajiri. Biashara zao ndio zenye kukopa sio wao. By definition tajiri hahitaji kukopa otherwise huyo sio tajiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.