Search results

  1. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Your welcome. Mr. Joel yupo vizuri sana.
  2. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Karibu sana. Unaweza ku connect na community yetu hapa: Wazo Fasta
  3. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Ndugu yangu. Usitutie aibu hadharani
  4. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Ungesoma makala kwanza ndugu. Sio kila kitu forex.
  5. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Inaonekana hujasoma hadi mwisho. Soma tena.
  6. Dr. Said

    Ni biashara gani inaweza ingiza atleast faida ya TZS 5M kama nikiwekeza TZS 30M?

    Hello ndugu. Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara. Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo. Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi. Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
  7. Dr. Said

    Jinsi ya kupata wateja mtandaoni

    Pitia thread yangu hii itakusaidai: Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja
  8. Dr. Said

    Jinsi ya Kujenga Mashine ya Kunasa Wateja

    Nikikwambia kuwa unaweza kumiliki mashine yenye uwezo wa kukuletea wateja kwenye biashara yako utaniamini? Wateja wenye pesa mkononi tayari kununua bidhaa/huduma unazotoa? Wengi nikiwaambia hili jambo nyuso zao zinakunjika kwa mshangao na kuona kama jambo lisilowezekana kabisa. Wakati...
  9. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Amin. Kweli deni inawamaliza watu.
  10. Dr. Said

    Mtaji wa milioni moja, naomba wazo la biashara

    Hello ndugu. Huhitaji mtaji (au mtaji mkubwa) kuanzisha biashara. Bali unahitaji taaluma ya kusoma matatizo ya soko pamoja na namna ya kutatua matatizo hayo. Baada ya hapo unatakiwa kuweza ku test soko lako bila ya kupoteza pesa nyingi. Kama soko linalipa, unajikita katika hilo soko na...
  11. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    I'm glad umefaidika. I really appreciate it.
  12. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Asante. Nashukuru kwa kuwa consistent. Ila itakuwa vizuri uka screen shot mahojiano yote ya wanafunzi wangu. Kuhusu ku upsell yes off course nina upsell. Tangu lini ku upsell imekuwa utapeli? Ulitaka nifanyaje sasa?
  13. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Kama kuniita tapeli itakupa usingizi mnono usiku hakuna shida. Endelea kuniita hivyo.
  14. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Tunaishi dunia ya ajabu kama kutoa kozi 4 bure imekuwa utapeli. Kwa vile unapenda kunifanyia marketing naomba uende na channel yetu ya YouTube ushare screenshot mahojiano ya wanafunzi wetu. https://www.youtube.com/playlist?list=PLLOg8s26qj-YMos8or0O428soi_z0Poa8
  15. Dr. Said

    Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

    Nakubaliana na wewe kwa 100% ikiwa Unazungumzia business entity ya matajiri. Biashara zao ndio zenye kukopa sio wao. By definition tajiri hahitaji kukopa otherwise huyo sio tajiri.
Back
Top Bottom