Natambua uwepo wa watalaam hii makitu humu ndani, heshima kwenu. Aina ipi ya heat controller/ thermostat inafaa kwa incubator ndogo, kati, mpaka kubwa. Lengo ni kuandaa home made incubator maana kuku wamekuwa wavivu kutotoa.
Elimu haina mwisho.
Yaaa.... Akchware hili jukwaa langu pendwa hili lakini nilikuwa mfupi kwalo...... Bezikale linakwenda ekselenti, hongera.
Baada ya siasa hili linafata........... Nimerudi, yani nitakuwepo, wakongwe wenzangu kujeni, wageni haswaaaa...
Siyo kwa uandishi huu... [emoji56] @kaunta
Tuweke "uchit chat" pembeni, huyu mdau yuko salama kweli, nimemsaka muda mrefu sijafanikiwa, Filipo anaelewa namaanisha nini, pakajimmy mzee wa kumbatio, Dark City, @blakiwomani, Watu8, KOKUTONA, na wadau wengine wa chumvini wanajua. Mke wangu janeth1 anajua pia kuwa namtafuta Smile
Wengi wa age go katika jukwaa letu pendwa hili la Chit Chat tumepoteaaa.
Wito wa dereva tajwa hapo juu ni kwamba niwaombe wadau wote kurudi hapa jukwaani. Wafuata wametakiwa kurudi immediately:
PakaJimmy, Watu8 Filipo Arushaone KOKUTONA lilyflower Preta blakiwomani Madame B na mke...
Wadau, hivi kanuni zinaruhusu kwa waziri kumhoji mwenzake? Leo waziri wa naibu viwanda na Biashara kasimama na kumuuliza Waziri wa ujenzi juu ya mpango wa ujenzi wa barabara.
Cha ajabu Magufuli kasema itajengwa wakati haijapangiwa fedha.
Hili wazo la kuwakusanya vijana 100 Wilayani sikonge na kuenda polini kuanzisha kijiji chao ni jema sana. kama liliandaliwa sawa sawa na kupangiwa bajeti kupitia 5% ya bajeti ya halmashauri kama sera ya vijana inavoelekeza, huu utakuwa mwanzo mzuri wa kuwajenga vijana kujiamini na kujitegemea...
Hivi baba wa mke wangu si tuwashitaki hawa waandishi walivokosea kuandika jina kwenye kibao chako hapa Ntuzu badala ya Ntunzu Khantwe mama yetu umelioona hili?
cc: janeth1
Hayo ameyasema Kikwete akimaliza Ziara yake Mkoani Tanga. Uchaguzi haufanyiki ikiwa bunge litapitisha serikali tatu kwakuwa itabidi serikali yavtanganyika itungwe ili mwongoo uwepo.
Kama itaendelea katiba ya serikali tatu, uchaguzi unaweza kufanyika ikiwa sheria zilizopo hazikinzani na Katiba...
hii ndio ilikuwa vision ya viongozi wetu waasisi wa muungano, anadai hii ndio serikali itakayokuwa na gharama ndogo.
muungano utakuwa imara zaidi: amesema mwana ccm bungeni - mhe mtutula:
nadhani hili sio baya
baada ya kukaa kwa muda mrefu bila mke, leo natangaza rasmi kuwa janeth1 ni Mrs. Mwanyasi.
taarifa kwa mwenyekiti Baba V na rais Arushaone wakiwa viongozi wetu.
dada na kaka zangu KOKUTONA amu Arabela Lady doctor watu8 Kaizer Judgement YNNAH Asprin DEMBA Chocs Filipo Heaven on Earth Mtoto...
pamoja na wazo hilo kuwa la long run, in a maeanwile tuombe mawazo ya wachache katika kamati ya tundu lissu yarushwe na channel ingine kama ITV au startv.
hata hivo tunaweza kama members wa jf tuchangie garama ya kurusha hotuba hiyo in either tv at the agreed time.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.