Elimu ya dini ipo miaka yote shuleni, muda wa vipindi vya dini kila dhehebu wanajua pa kukutana na kuendesha ibada. Hakuna anayelazimishwa kujiunga na au kuhudhuria dini asiyoitaka.
Ukienda Ilboru sekondari kuna kanisa, lakini pia kuna msikiti na kila watu wanaabudu watakavyo bila kubugudhiana...
Labda una approach nzuri tofauti na yeye kama yupo juu ya stul ndefu sasa kaona inafeli kulipia wakati kachukua jana tu. Na ukute kangombana na kaunta!!
Natambua walimu wanapitia magumu sana hapa nchini! Na hili jambo ni sugu, CWT iliingua virusi, ukifatilia baadhi waliteuliwa na Rais kuwa ma...
Za kuagiza Ulaya huwa zina magumash sana, tuna vipisi viwili tuliagiza kule Ulaya zinafanya kazi kivivu sana (nadhani tulipigwa) japo tunazihudumia vema kwa spea lakini bado hazikai muda mrefu bila kushmbua. Kuna fundi aliwahi kuzungumzia jambo la hali ya hewa ya Ulaya na ya huku, kuna kifaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.